Home
Unlabelled
makadirio na mapendekezo ya bajeti za ist afrika mashariki 2009/2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hiki kibegi cha watani wetu wa jadi kimechoka
ReplyDeleteMTOA MAONI WA HAPO JUU..KWA TAARIFA YAKO HAKIJACHOKA SISI NDIO TUMECHOKA KWA KUWA OMBA OMBA.WATANI ZETU HAO WANA BUDGET YA DOLLAR BILLION 11.1 WAKATI YETU NI DOLA BILLION 7.5 NA KATI YA HIZO ZAIDI YA ASILIMIA 33.8 YA BUDGET YETU TUMEOMBA NA KUKOPA NJE WAKATI WENZETU WANATUMIA PESA ZAO WENYEWE,KWA HIYO KUTUMIA BEGI LA MWAKA JANA SI HOJA ILA HOJA NI BAJETI INASEMAJE NA UIMARA WA SHILINGI,HAKUNA JINGINE.
ReplyDeleteUmaridadi wa Bag ndo uzuri wa budget?
ReplyDeleteMi naona kwa ujumla suala zima la Uchumi wa nchi yetu limekaa TENGE, kila mwaka hakuna kinachoeleweka na sasa hali ya uchumi wa dunia ndo itakuwa vululuvululu. Mie kunchanganya tu.
Ila mwayego kusema za ukweli kabegi ketu kachovu!!!!???? Labda kanasababisha na budget kuwa chovu
GJK