Heshima na Uvumilivu Umenifanya Nifike Mbali - Elias Barnabas
Je unamjua vizuri Elias Barnabas nyota inayong'aa kwenye muziki wa kizazi kipya 'Bongo Flava' hivi sasa ambaye alitamba sana na wimbo wake 'Njia Panda'?
Je unajua kwamba kutokana na kupenda kwake sana muziki aliacha shule kidato cha pili?
Elias Barnaba aka Barnabas aliyetamba sana na nyimbo yake 'Njia Panda' anasema kwamba heshima na uvulimu alionao ndio chanzo cha mafanikio yake makubwa kiasi cha kualikwa na mwanamuziki maarufu wa Kongo Fally Ipupa kurekodi naye nyimbo pamoja.
Kufahamu zaidi link ni hii:
http://www.nifahamishe.com/
Kufahamu zaidi link ni hii:
http://www.nifahamishe.com/
NewsDetails.aspx?NewsID=2179606&&Cat=8
mwisho wa yote nyie "kizazi kipya"
ReplyDeletemnafikia wapi???
mana wachezaji wa soccer wa zamani ata sijui wanafanyani ktk life lao now