Tanzania HouseTANZANIA DAY IN STOCKHOLM
Umoja wetu wa Tanzania ukishirikiana na Ubalozi wetu hapa Scandinavia unapenda kuwakaribisha kwenye tafrija ya pamoja kwa kuwakutanisha ndugu na marafiki wa watanzania kwenye ukumbi wa TANZANIA HOUSE.
Anuani: Näsby Allé 6, Stockholm
Tarehe: 20 june 2009
kuanzia 14.00 - 21.00
Vinywaji, vyakula vya kinyumbani pamoja
na nyama choma vitapatikana kwa bei nafuu.
Usisahau tutafurahi kwa muziki wa kinyumbani
( Bongo fleva, Pinda mugongo, Rusha roho, n.k.)
NYOOOOOTE MNAKARIBISHWA.


siendi popote biashara ya Watanganyika hii!
ReplyDeletehuko ni umbea tu , nani kafanya lile na nani kavaa vile ,
ReplyDeleteMnaubaguzi wabemba'nyie...
ReplyDeletehilo paa ya nyumba ni la Tanzania house? je hiyo ni snow au paa lililo chakaa?
ReplyDeleteNakutakieni mkutano mzuri, maana shughuli ni watu na watu ni shughuli.
Mdau
kitomondo TMK Dsm.
SISI TUTAKUWA WA KWANZA KWENDA HUKO, HAYO MAKULAJI YA KITZ NA MISHAKIKI KAMA YA MWAKA JANA KWA KWELI SITOYAKOSA.
ReplyDeleteWEWE ANNON 1 KAA KWA NYUMBA NA UNANIHII
MDAU STOCKHOLM
Mdau Majuto atakuwepo?
ReplyDeletewewe unaesema huko ni umbea tu inaonekana wewe ndio mbea mkubwa, na wewe sisi kama sisi Watanzania tutaeda kula mishkaki na sambusa
ReplyDelete