Augustine Kakubukubu Kakorozya
1941 – 2009


Familia ya Marehemu Augustine Kakorozya inapenda kutoa shukurani zao za dhati kwa wote walioshiriki kwenye msiba wa baba yao mpendwa Mzee Augustine kakorozya aliyefariki dunia tarehe 5/05/2009 na kuzikwa tarehe 08/05/09 kwenye makaburi ya kinondoni.

MKESHA WA AROBAINI UTAFANYIKA LEO IJUMAA TAREHE 12/6/09 NA MISA YA KUMUOMBE MAREHEMU ITAKUWA KESHO JUMAMOSI TAREHE 13/6/09 SAA TATU ASUBUHI, NYUMBANI KWA MTOTO WA MAREHEMU NDUGU BENNET KAKOROZYA, SINZA MORI.

Bwana ametoa na bwana ametwaa Jina la bwana lihimidiwe.
Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie Apumzike kwa Amani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 12, 2009

    Oh jamani, he was such a great man.
    Poleni wafiwa wote. Bwana ametoa na Bwana ametwaa.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 12, 2009

    Benett pole sana ndugu yangu, i dont know kama utanikumbuka mimi ni Ludo Swai, tulikuwa tunasoma wote Mwenge Primary Tabora nilikuwa mbele yako one year.Basi tuwasiliane my email is ludovickj@gmail.com.

    Mungu ailaze roho ya marehemu mahli pema peponi.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 14, 2009

    Bennett pole sana, namfahamu sana mzee, alikuwa mtu mzuri sana na aliyependa dini sana. Namfahamu akiwa pale Tabora. Nawakumbukeni nyinyi nyote Adeodata, Revocutus na kaka zako wengi...tuwasiliane wndaki@gmail.com

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...