Wasanii wa kundi la Wise Crew linalopatikana katika chuo kikuu chaTumaini University ya A-taun wako katika hatua za mwisho za kukamilisha albumitakayoitwa IMEBAKI STORY.

siku ya jumamosi watarekodi wimbo wa kumiambao ndio utakamilisha album wimbo huu uitwao wasichana wa vyuo vikuuwatamshilikisha mkongwe kutoka kanda ya ziwa Jitamani na kazi hiyoitafanyika ndani ya studio ya Noizmaker Arachuga chini ya mtayarishaji DX

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. wa kwanza kushoto anataka kufanana na young WARREN G

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...