barnaba na mai waifu wake wakila pozi baada ya kumeremeta katika kanisa la St. Theresa Catholic Church na baadaye kwenye mnuso ukkumbi wa The African Tulip na Olosiva Garden jijini a-taun
maharusi wa watu-bora wao
bi harusi na wapambe wake
na watu-bora na watoto wa maua




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 10, 2009

    Hiyo miwani itazua gumzo hapa, labda iwe imevaliwa kwa sababu maalum! Nitarudi baadaye kusoma maoni.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 10, 2009

    Bwana harusi mwanya bibi harusi mwanya labda walipendana kwa sababu wote wana mianya

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 10, 2009

    Hongereni sana sana mmependeza. Lakini mume ana mwanya, wife ana mwanya watoto si watotatoka mapengo???!!!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 10, 2009

    Hongereni sana.

    Jamani kama mna mtoto naombeni kujua kama nae ana "mwanya", au mkishajaaliwa, mtanijulisha

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 10, 2009

    mtoto akitoka bila mwanya atakuwa ni feki, itabidi mkampime dieniei.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 10, 2009

    hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa

    watu mna mijicho???

    bi harusi umependeza sana,asa izo tea-teazzz

    kwa leo inatosha

    asante

    (word verification jamen)

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 10, 2009

    Hongereeni sana na karibuni kwenye maisha ya ndoa. Ila kaka (bwana harusi) picha ya nne (4) uliyokaa chini, siku nyingine ukiwa na wife usikae design hiyo; hahahaaa; umekunja miguu na mikono kwenye magoti, hahahaaa! Mungu awabariki.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 10, 2009

    teheeee teheeee tuhuuuu tuhhhuu hongera ssanaa dada Regina Mongi umependeza sanaaa.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 10, 2009

    Wamependeza kama mawardi
    Lakini kwa nini wamepiga picha mbele ya mzoga wa huyo masikini ya mungu ndovu
    All the same congratulations and may the Merciful reward you for your faith in togetherness
    Wakatabahu

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 11, 2009

    Maybe ni watoto wa baba mmoja,ilibidi wapime kwanza.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 11, 2009

    mweee watu mnajua kutafuta uchokozi lol nimecheka hadi basi yaani nilitaka kuongezea comments ila yote niliyotaka sema yameshasemwa hahahahahah miaya kukaa miwani lol

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 13, 2009

    mmependeza sana,safi sana..sisi tutawaiga tuweke nyumba zetu sawa kama nyie ila nina swali la kizushi wakubwa..
    HIVI BWANA HARUSI AMEKALIA NINI VILE HAPA ?

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 13, 2009

    michuzi mbona unabana baadhi ya comment mzee mwenzangu,pamoja na kuwa wee mzee mwenzangu lazima nikutukane kidogo nitoe hazira "SURUALI YA GU BLOG GWAKO GWA JAMII"
    ok mzee nimetoa hasira baada ya kukutukana kingonyani ngonyani)))
    fikisha ule ujumbe kwa huyo mtoto wa pili toaka kulia nimemzimikia(samahani kama ni my wife wa mtu!ohh) halafu word verification ya hapa chini inafanana na jina yaani imeandikwa TUNTUFYE!tehtehteh

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...