Home
Unlabelled
dk. shein aoza bintiye
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongereni bwana na bibi Mitawi, Mungu aibarik ndoa yenu.
ReplyDeleteHuyu chalii aliye ozeshwa na hivi vichwa vyote lazima na yeye ni kichwa siku akimletea huyo manzi noma ishu anaisolve Karume.Ila hawa viongozi wanapo kwenda kuozesha kazi tulizo watuma inakuaje?na kwenda kwenye dili kama hii najua msafara lazima na watu kama walinzi na wanaitifaki kulipwa,kweli tuko freshi kipesa
ReplyDeletehongera ndugu yangu inshallah iwe ndoa ya kheri na mola awajaalie vizazi vya kheri.
ReplyDeletemdau coventry university.
Huyu wa kulia mwa Shein mbona anafanana na JK Kikwete?
ReplyDeleteWao wanakuwa hawameremeti?
ReplyDeleteAnon wa 07.53 ina maana mtu akiwa kiongozi asishughulikie swala binafsi kama harusi ya mtoto wake? Mbona wananchi wengine wanahudhuria shughuli zao kama hizo. Kila mtu pale alipo anafanya kazi ya kuendeleza nchi na wananchi kwa ujumla. Viongozi hawawezi kufanya kazi peke yao, tunatakiwa kushirikiana pamoja.
ReplyDeleteMbona hatumwoni mwali? au mwali kazindwa sehemu sehemu??? Tuelemishane!!
ReplyDeleteukurugenzi tvz uleeee...
ReplyDeleteMUHISHIMIWA SANA MTUKUFU RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO NDUGU MRISHO JAKAYA KIKWETE NAPENDA KUKUPA TAARIFA YA MIMI KUFUNGA NDOA MWEZI UJAO PALE ST JOSEPH NINAOMBA SANA TENA SANA MUHISHIMIWA NAMI UHUDHURIE SHUGHURI YANGU.
ReplyDeleteAHSANTE
JOSEPH MTEMA
MABIBO, DAR.
We Anonymous wa 12:37:00 AM hujui kusoma nini?? soma maelezo tena ya Bro Mithupu!!
ReplyDeleteHuyu anony wa Tue Jul 28, 12:37:00 AM, vipi hajasoma maelezo ya picha!! Soma kwanza maelezo ya picha ndiyo utoe maoni, usikurupuke tu!!!
ReplyDeletehongera mwanaharusi,mungu awape amani na mapenzi katika ndoa,nimmefurahi sana kusikia harusi yako.
ReplyDeleteni mimi mwenzio wa kwerekwe tulosota pamoja mabanda.
Hongereni sana wazazi na vijana mliofunga ndoa. mungu awape kheri nyingi, napi pia anibariki niweze kumpata kwe mwema. inshallah, amin.
ReplyDeleteRais mstaafu mkapa, alipokuwa katika harakati binafsi ya harusi ya mwanae na kwa kutambua kuwa hiyo ilikuwa ni shughuli binafsi alitumia basi dogo kwenda kwenye shughuli hiyo. sijui hawa wakuu wote watatu, katika harusi hii walifanyaje!!!! wadau tupeni data.
ReplyDeleteAnon wa Julai 27 07:53 usiwe na hofu kuhusu suala la watu wa itifaki na wengineo kulipwa kwa kufanya kazi. Ninapenda kukuelimisha kuwa chimbuko mojawapo la itifaki ni sherehe, dhifa na mengineyo yanayofanana na hayo, na siyo maswala ya kiofisi kama ulivyohofu. Visingekuwa vitu hivyo itifaki pia isingekuwapo. Hivyo usiwe na hofu, watu wapo kazini pia kwa maswala hayo.
ReplyDeleteHongereni maharusi, Mungu awajalie kheri na salama ktk ndo yenu.
ReplyDeletehivi jamani nijulisheni kama kuna kati ya hao wazee wazito wa nchi ana binti kati ya miaka 23-25 nimtilie timu kikieleweka naweka ndani na mimi!maana napenda sana miguu ya kuku iwe imezunguka harusi yangu ikiwalinda hao watuwazima!
ReplyDeletemzushi-UDSM
Mbona hatuwoni maharusi?
ReplyDelete