ya saa moja kasorobo za jioni na kajua kaleeeee kanateremka mama...
raha yake ni kwamba taa za barabarani sio kwamba hazijawashwa bali haziwaki kimoja kwa sababu isiyojulikana. na kama zikiwaka mwanga wake ni hafifu kwa kuwa wanatumia balbu za watts 15 na kuufanya mji uwe kiza totoro hata kama taa za barabarani zikiwaka.
redio mbao zinadatisha kwamba wanahofia kwamba balbu zenye watts kubwa zaidi zibnakula sana umeme. Bongo tambararezzzzzzzzz....
MIMI NAKUBALI KABISA KUWA BONGO TAMBARARE ILA NINACHOSHANGAA MIMI NI KUWA KAMA TAMBARARE MBONA AIRPORT WANATUIBIA TUMIZIGO TWETU?
ReplyDeleteAU TAMBARARE KWA KINYUME?
ILA VIBAKA WA AIRPORT TUNAWAOMBEA NJAA YAO IPUNGUWE WAACHE WIZI KWANI INATIA AIBU TAIFA
What!!! 15 watts?
ReplyDeleteHivi bulbs za taa za nyumbani si watts 40 au 60??
Michuzi bwana hiyo sio kweli...sijawahi hata kuona bulbs zenye power ndogo kama 15W.
Nchi hiyo wahusika wa kila sector wako likizo.....hakuna anayejali kazi anayotakiwa kufanya (over 95%).
Wanaofanya kazi zao inavyotakiwa ni chini ya hiyo 5% I can bet my ....
J.
Toronto.
Mhe. Mkuu wa Wilaya na nanihii..hakika umekumbusha mbali na enzi za mchaka mchaka palue Muhimbili kwa Mwl. Ndosi...ukiingia darasani chepe chepe baada ya raundi kadha pale kidongo chekundu..
ReplyDeleteMITHUPU NAONA ULIKUWA KOKUP JKT, NA ULIKUWA KIDOLE TUMBO!!
ReplyDeleteDISCO HALIKUIMBWA HIVYO....LILIENDA HIVI..
kiongozi:JUA LILE LITELEMWIKE MAMA
kuruta: JUA LILEE LITELEMWIKE MAMA
kiongozi:KURUTA NAOO WATELEMWIKE MAMA
kuruta:KURUTA NAO WATELEMWIKE MAMA
kiongozi:AI YA IYAA HUYO NAMPENDA!
kuruta: AI YA IYAA HUYOO NAMPENDA
mengine utajaza
hiyo ni 1977 kabla tu ya nduli kutuchokoza.
Na jamaa tulivyokuwa fiti mpaka leo nashamgaa!!
Issa, hako ka "heading" ka "jua lile litelemke mama" wengi umetukumbusha mbali! Kulikuwa na afande mmoja (Makutupora) enzi hizo za JKT kwa mujibu wa sheria akiitwa "green kwanja", alikuwa hasikii cha mtu. Saa 10 za alfajiri anatuamsha kwenda mchakamchaka, anatuhenyesha mpaka kurudi kwenye uji saa 2 asubuhi!!
ReplyDeleteIla nikirudi kwenye mada ya taa za barabarani "Jiji la Dar" ni aibu tupu. Milingoti ipo ila taa haziwaki, na hii inasababisha usalama wa watu kuwa mdogo kwani kukiwa na mwangaza inasaidia kupunguza wizi. Yaani ukizimikiwa na gari ghafla ni heri ukimbie uiache kutokana na giza lililopo. Na ukikuta taa zinazowaka basi ni barabara mpya ambayo bado globu hazijaanza kuungua au taa kuharibika. Sijui ni kitengo gani kinachohusika, ila kama ni gharama kulipia umeme si waweke zinazotumia mwanga wa jua? Mbona Tanzania imebarikiwa kuwa na wanasanyansi na wabunifu ila vipaji vya hawa watu havitumiwi hadi wanaamua kwenda ugenini ambako wanatambulika na kuthaminiwa. Hii ni aibu kwa Jiji na nchi kwa ujumla. Inatia uchungu!
ReplyDeleteMichuzi naomba sana usiwasemee hao wanaohusika kuwasha taa za barabarani kwani JIJI sasa hivi linatisha hata ukienda pembezoni mwa mji ni giza totoro. Taa zimewekwa karibuni kwa sehemu zingine lakini ghafla haziwaki kabisa hebu fanya uchunguzi utujuze.
ReplyDeleteAncle Michu una mambo!
ReplyDeleteAko kajikorasi kananikumbusha pale Rubungo P.School wilaya ya Muleba Nyuma ya Mahakama ya Mwanzo,asubuhi saa 12 kwata sana afu mnapita kwenye nyasi za kuchipua zile,kipindi icho "no shoes" ole wao wale wenzangu mimi wenye wadudu miguuni!
Anyway tuendelee na TOPIC.
"Sikwamba balbu zinakula umeme,ila wao ndo wamekwisha zila zile za kulipia umeme na kununua balbu"
By Mdau Mbeki 4rm St.Joseph College of Engineering(Brigita Campus)-DSM