Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 26, 2009

    aisee hii kali, sina mbavu hapa! hahaha

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 26, 2009

    hahahahahahahaha nice

    ReplyDelete
  3. real nice,inachekesha.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 27, 2009

    Kama dawa ni ya kupaka, lakini daktari kakwambia unywe, basi nadhani aliyechanganyikiwa ni daktari!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 27, 2009

    hii kali imenikumbasha mbali sana.
    Inachekesha lakini wakati huo huo ujue ya kuwa mambo haya yanatokea

    kuna Mwanafunzi mmoja mwaka 1993/94 shule kapuni, alienda hospitali akapewa dawa kama hivi
    panadol---- 2x3
    asprin------2x3
    malariaquine--2x3
    nk

    basi yeye akafanya 2x3 = 6
    2x3 = 6
    2x3 =6

    alizidiwa ile mbaya. Nilibaki nalia tu.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 27, 2009

    Kumbe madaktari wanatakiwa kuandika maelezo ya dawa kwa Kiswahili maana Lug'eng'e kwa waliowengi halupandi....teh teheee

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 27, 2009

    anonwa july27 saa12:29 umetia chumvi japo ujumbe wako umefika, lakini njia ya mwongo huwa ni fupi,au ndege mjanja hunaswa ktk tundu bovu, niulize kwanini nitakuonyesha ulipo chemsha!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 27, 2009

    hehe,hapa aliejichanganya ni daktari ni mgonjwa mwenyewe?dawa ya kupaka yeye kataka kunywa!bora karudi kuuliza angekua si mwenzetu huyu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...