Mdau anakukaribisha kwenye duka la Dream Wear lililopo ndani ya jengo la Millenium Towerspale Kijitonyama jijini Dar, ghorofa ya kwanza ubavuni pa kiota maarufu cha Mzalendo Pub ambapo utakuta viatu vya kinababa kutoka Italy, Uingereza na Marekani kedekede.
Kwa mawasiliano na duka la Dream Wear
Piga simu Namba 0735 235 222
ama tembelea libeneke lao

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. kalumekengeJuly 06, 2009

    vitu safi sana vinafanana na vile tunavyo viona huku majuu hasa hasa yale maduka ya bei mbaya kama National Liquidation Store,Dola store, Na warehouse.Safi sana.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 06, 2009

    we dada naomba uweke viatu simple vya kiume sio lazima ujaze vya kipedezshee mbele vyembamba virefuu wengine hatupendi..

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 06, 2009

    duh kumbe bongo sasa tambarare, hatuna haja ya kupata hasara ya kubeba mizigo mingi na kuyilipia ushuru mkubwa wa kwenye ndege wakati bongo vitu ni vya kumwaga kama huku, hongera sana watu mnaokwenda na wakati katika mavazi ya kileo

    ReplyDelete
  4. Kalumekenge nakubaliana na wewe kabisa.Viatu vimetoka kinoma,kama huna pesa huwezi kuingia ktk maduka uliyotaja.Loooool

    ReplyDelete
  5. muonambaliJuly 06, 2009

    natafuta mke michuzi....niweke hapo basi.........napatikana kunduchi ni mchimba kokoto by profeshen

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 06, 2009

    kaka issa nikipiga hiyo namba atapokea huyo dada,nataka anieleze kwa ukaribu kuhusu hizo bidhaa

    ReplyDelete
  7. kalumekengeJuly 06, 2009

    MBIGIRI wewe ni bonge la genious una akiri sana, sikuwezi hahahaaaa hata michuzi haoni ndani hapo Asante Mwanangu..

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 06, 2009

    kwa style hii atawapata wengi

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 07, 2009

    tehetehee wee uliyetoa hii coment
    vitu safi sana vinafanana na vile tunavyo viona huku majuu hasa hasa yale maduka ya bei mbaya kama National Liquidation Store,Dola store, Na warehouse.Safi sana.

    unelewa hayo maduka au nataka tu usema....maduka ya bei mbaya hayo au unataka kutania....teheteheheheheheh

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 07, 2009

    wee unayesema hakuna hasara ya kubeba mzigo mingi utalia na roho yako ukifika bongo. wafanya biashara sijui ni mtaji mdogo au nikutokuelimika ( I am sorry to say this) lakini wanakua na vitu vingi wee vya kila aina lakini kimoja moja. Utaona kiatu au nguo unayoitaka lakini size hamna.

    Tulikoma tulivyokua tunamtafutia shangazi na bibi magauni ya kuvaa kwenye harusi ya dada yangu. halafu hiyo bei sijapata kuona...na brands sio za kawaida hata zingine hujui na brands gani.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 07, 2009

    mimi uyu dada tuuu basi...sihitaji ivo vitu vyake mana kwanza ntamtoa uko asihangaike kiivo

    nakuja dada apo millenium tower

    asante balozi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...