Bosi wa Kitengo cha Uhusiano, Udhamini na Matukio wa Kampuni ya New Habari (2006) Limited, Petter Mwendapole akibadilishana mkataba wa udhamini wa shindano la Miss Tanzania na mkurugenzi wa Lino Agency waandaji wa michuano hiyo, Hashimu Lundenga wakati wa hafla iliyofanyika jana makao makuu wa New Habari, Sinza Dar

Bosi wa Kitengo cha Uhusiano, Udhamini na Matukio wa Kampuni ya New Habari (2006) Limited, Petter Mwendapole (katikati) akizungumza wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ofisi za kampuni hiyo Sinza. Kushoto ni Mkurugenzi wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga wakati kulia ni Meneja Huduma kwa wateja wa Vodacom, Elihuruma Ngowi.

New Habari wamemwaga takriban milioni 80 katika kudhamini shindano la Vodacom Miss Tanzania mwaka huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 30, 2009

    naombeni basi mkasaidi wagonjwa muhimbili wasioukuwa na msaada wowote! that will be nice, mamiss tu all year around! do something that you will get somethig special back! good bless you all

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 30, 2009

    nyie wadau wa voda kweli namuunga mkono huyo alietoa hoja hapo juu mbona shida ziko nyingi sana watu hawana msaada achaneni na mamiss,kuna kina mama waakufa kila siku na watoto kwa kukosa tu dawa,try to do something in future u will be proudly of. pleese sport ni muhimu but mambo yako ya muhimu zaidi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...