stelingi wa globu ya jamii baraka wa chibiriti wa cesena, italy, amwaga salamu kwa wadau akiwa vekesheni bongo.....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 24, 2009

    Ahhhhhhh Michuzi, mbona hamna kitu? only 1 sec kwishnen!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 24, 2009

    Jamani, mbona chibiriti mwenyewe haongei?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 24, 2009

    Mzee, ungeiachia kidogo angalau tumwone akiingia kwenye mkoko wake wa silver baada ya kuumia kubeba box!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 24, 2009

    Michu umewakomesha waoshwa vinywa!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 24, 2009

    ushuzi mtupu michuzi be serious bro!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 24, 2009

    ulisalimika Airport kuibiwa mizigo yako Chibiriti, manake hawa jamaa siku moja hata hiyo buti kali na jeans, waziri asipoingilia swala hili.
    thanks have viskeni bongo.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 24, 2009

    chibiriti angalia usifulie bongo

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 24, 2009

    vipi mdau wa chibiriti,Umeshanunua computer mpya? maana kuna siku ulituletea picha ya chumbani kwako ukiwa na kompyuta ya enzi za mawe za kale.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 24, 2009

    me ndo sioni kabisaaa ata icho kibox apa

    aya

    ReplyDelete
  10. Ah, stalingi wetu Chibiliti ameludi, yees!! Naona stalingi unatembea kwa minjonjo na kabla hujaingia kwenye benzi lako mithupu ameamua kukatiza movi. Hamna noma wala nini stalingi wetu, we endelea kutengeneza movi huko kwa wataliani.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...