Kocha mwenye uzoefu Shalamar akitoa maelekezo yake Siku ya mechi na Egypt katika ligi ya kuwania kombe la waafrika iliyofanyika uwanja wa Ilion Athens .Tulifungwa 6-2
Baadhi ya wachezaji kabla ya mechi ya Tanzania na Ghana katika ligi ya kombe la waafrika mjini Athens. Katika gemu hilo Bongo ilitolewa kwa taabu sana na Ghana
Katibu Mkuu wa jumuiya ya watanzania Ugiriki, Kayu Ligopora, kabla ya mechi ya Tanzania na Ghana katika ligi ya kombe la waafrika mjini Athens

Mchezaji nyota veteran Kassa Musa kabla ya mechi ya Tanzania na Ghana katika ligi ya kombe la waafrika mjini Athens

mchezaji Saleh (makapu )aliyeingizwa kipindi cha pili ili kuokoa jahazi kwenye mechi ya Tanzania na Ghana katika ligi ya kombe la waafrika mjini Athens





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Huyu Kassa Mussa ndiye yule aliyewahi kuchezea Coastal Union au African Sports enzi zile au Kumbukumbu yangu sio nzuri?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 06, 2009

    hongera sana watz ughaibuni kwa kutuwakilisha. japo nina hofu hii habari haitupi matokeo, au tulifungwa?! jamani ni mchezo tu kupata au kukosa ndo mambo yenyewe. japo nawapa BIG UP!!!.
    Mdau
    ETM

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 06, 2009

    Tunaomba wenzetu wa Greece tuwasiliane ili tuweze kuwa na ushirikiano wa kimichezo kama ilivyo sasa kwa watanzania waishio Stockholm Sweden na Helsinki Finland. Yaani tuwe tunatembeleana na tunacheza mechi za kirafiki. Mnaweza kuwasiliana nasi kwa e-mail rsaidr@hotmail.com

    Kiongozi wa Kilimanjaro Club ya Sweden.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 06, 2009

    Stadium limetuliwa sio kama jamaa zetu wa Finland wanacheza kwenye Mavumbi Stadium. Kweli Finland ni choka mbaya.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 06, 2009

    Ebwana kuna mshkaji wangu nilisoma nae Jitegemee Roy West bado yupo huko Greece or?

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 06, 2009

    Kassa Musa nakuona kumbe bado uko fit?Unakumbuka enzi za primary pale Turiani shule ya msingi pale Magomeni..baadae Coatal union na kunyakua ubingwa wa Muungano..Nakutakia kila la kheri tuwasiliane
    Mdau-Sydney

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 06, 2009

    ee bwana watz Greece mna2wakilisha kiaina sio mbaya mkiwa mnakutana na kushindana na timu mbalimbali nimewakubali mimi ni left back ninahitaji mawasiliano na nyie huko e mail yangu jkleen88@yahoo.com mdau Tz

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 06, 2009

    we kasa bado unacheza tu pumzika mkubwa..na huyo makapu toka lini tena????mnamwitaji mwanangu milala hapo.....kasa mwambie dad mtoto wa queen anampa hiy...kwa obama hapa.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 07, 2009

    Mwalimu-Zacharia kinanda
    Duncan Mwamba,Said Kolongo,Douglas Muhani,Hassani Juma,Elisha john,Ali Maumba-White Horse,Aggrey Chambo,Kassa Mussa,Juma Mgunda,Hussein Mwakuruzu Ruga,Razaki Yusuph -Kareka.
    Hapo starehe tupu wapige na Pamba,Ushirika,African Sports ilikuwa Game ya Ndumba,wapige na Pilsner.Ndio hivyo tena muda.Jimmydoe

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...