WISE CREWwasanii wa kundi la mziki wa kizazi kipya la WISE CREW wamepongezwana uongozi wa chuo kikuu cha TUMAINIUNIVERSITY ARUSHA baada ya kuhitimu masomo na kula nondozzz za sayansi ya jamii pia na juhudi zao za kimuzikizilizosaidia kukitangaza chuo hicho kupitia mziki nasi wadau tunawapongeza kwa kupata hilo jiwe.
Wadau Makumira


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...