JK akiwa na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) Mama Sipho Moyo, wakizindua kwa pamoja ujenzi wa barabara ya Singida-Babati Minjingu. road construction. Kulia ni Waziri wa Maendeleo ya Miundimbinu Dk. Shukuru Kawambwa. Sherehe hizi zilifanyika leo kijiji cha Kititimo mkoani Singida. ADB ndio wadhamini wakuu wa mradi huo mkubwa.
Home
Unlabelled
JK azindua ujenzi wa barabara ya singida-Babati-Minjingu leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Yaani ninavyongojea siku ambayo barabara ya kutoka Minjingu kwenda Kondoa Dodoma Iringa itakapojengwa kwa kiwango cha lami. Eh Mola tunakuomba Rabana siku hiyo ije iwe kweli!!!!
ReplyDeleteMakao Makuu ya African Development Bank mjini Tunis yalitanhaza mwaka jana kuwa itatoa kiasi cha dola za ki-Marekani million 92 (72%) (serikali ya Tanzania itagharimia 28%) kwa ajili ya kutengeneza mabarabara ya mikoa ya Dodoma na Singida ili kuuunganisha mikoa na mikoa ya kasikazini hadi Kenya.
ReplyDeleteUUi barabara ya kwenda kwetu Babati inatengenezwa,Bwana asifiwe saana! It has been too long and IT IS ABOUT TIME, JESUS!
ReplyDeletewenye mabasi mabovu mwanza arusha na mwanza moshi kupitia singida mjiandae kuondoka haraka maana wenye macopolo wameona hii nafikiri wameshaanza kuyaandaa tayari kwa ajili ya njia hiyo
ReplyDeleteWajenge ili iendelee kuua watu wetu? Afadhali tuendelee kuwa na mashimo ili watu waende taratibu kwa sababu tanzania hatuna speed limit au hata tunazo hatuzizingatii hizo wala alama nyingine zozote za barabarani. Michu, naomba utoe kaquiz kadogo ka kuulizia alama za barabarani, mimi niko tayari kutoa zawadi ya shs. million 200, kwa atakayepata alama 10/10 (yaani uliza alama kumi za barabarani na maana yake tu)!! Naomba kutoa hoja Michu mdogo wangu
ReplyDelete