Afisa katika Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Bi Lupi Mwaikambo akiwaonyesha Magazeti ya zanani wanafunzi wakati walipotembelea Banda la Ofisi ya Makamu wa Rais wakati wa Maonyesho ya Nane Nane yanayoendelea Mkowani Dodoma.Picha na mdau Ali Meja

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mwl.Mapunda, Njombe TZAugust 05, 2009

    Mmoja kati ya wachapa kazi hodari katika ofisi ya makamu wa kwanza wa rais Lupi Mwaiakmbo a.k.a. Mrs. Makau. Huenda siku zijazo tukasikia amechukua nafasi ya Migiro huko UN.

    ReplyDelete
  2. we mapunda usituzeveze, we ndio bosi wake? una debe la kitoto kama wafanyakazi wa bunge.

    ReplyDelete
  3. Nimelipenda shati sijui t-shirt. Kwanini wasishone mengi tununue, tuvae tulingie Utanzania wetu?

    ReplyDelete
  4. Napenda kumuelimisha Mwl. Mapunda kuwa zama za Makamu wa Kwanza na Makamu wa Pili wa Rais hazipo tena!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...