katunisti nathan mpangala (mmatumbi) akiwa na animator wenzie toka ughaibuni kwenye mafunzo ya juu ya fani yao jijni nairobi majuzi
mojawapo ya mabango yaliyomvutia nathan kwa watani wa jadi

nathan akiwa na wamatumbi wenzie nairobi



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. Haa haa mateja. lakini tusicheke saana Wenzetu wametupiga bao wamejaa huku US ati wanafundisha kiswahili manake funguo = kifunguo, nguo = manguo, wali = mchele.

    ReplyDelete
  2. Lugha Ngumu sana hiyo lakini nafikiri Tafsiri sahihi kwa "Customers Parking and Deliveries" ilipaswa iwe "Maegesho ya (Kwa) Wateja na Uchukuzi" Nipo wazi kwa masahihisho...

    ReplyDelete
  3. duh,watani bwana! maegesho ya mateja?

    ReplyDelete
  4. hawa jamaa, nao wamezidi, duh mateja, wawaulize wabingo mateja ni nini. halafu hawa jamaa ni wabishi ukiwaambia kiswahili cha Wabongo hawakubali na ni wabishi kwani wanajifanya wanajua kama nakwenda kwa toilet, hii mazee ni gani tena, chakula hiki kinanuka vizuri badala ya kunukia, huyu bibi yangu hapo anakusudia mke wake, hii kitu niliweka kwa meza iko wapi, hao ndio watani wetu.

    ReplyDelete
  5. Wanatengeneza namna yao rahisi ya kuwasiliana.

    ReplyDelete
  6. nyie hapo juu amjui kiswahili hapo wanamahanisha sehem ya mateja wanaokula madawa .unga, sio mteja mnavyo fahamu ndio mahana wanatupiga bao,hapo napajua mateja huwa wanakula unga hapo na ni sehemu specil kwa wauza unga jamani mateja wa bongo du,KWELI WALA VUMBI NYIE,

    ReplyDelete
  7. ATI SWAHILI GANI NGUMU ISIOELEWEKA HAPO KWA BANGO,
    WE HAPANA JUWA MATEJA NI WALA UNGA!!
    NA MAGARI YALOEGESHA NDO YASHAPAKIA UNGA YENYEWE.

    SWAHILI HIYOHIYO MNAYOTUMIA HUKOHUKO NDO SWAHILI HII HII TUNATUMIA HAPAHAPA
    MMEZALIWA JANA NINI? EMBU PELEKENI SHAMBA YENU HUKO KWA MBELE.

    ReplyDelete
  8. haha kenya ndio zao pale nairobi airport niliona toilet zemeandikwa CHOO LA WANAWAKE na CHOO LA WANAMME nilicheka sana,tena nikaona fire exit imeandikwa LANGO LA MOTO,du yaani safari nzima nikawa nacheka mwenyewe

    ReplyDelete
  9. yaani wabishi kinomaa nipo nakamuanao md hapa tupo house moja.Utalala kwenye kochi anakwambia utalala kwa kochı

    ReplyDelete
  10. anon 11:20Am na ww inabidi ujifunze kiswahili fasaha.Sio wanamahanisha bali ni wanamaanisha.
    Sio mahana ni maana.

    ReplyDelete
  11. Wakati nakula buku Nairobi, wakikuyu na wajaluo walikuwa wananicheka sana eti nakosea kiswahili!! yaani mbongo wa Dar anaweza kufundishwa kiswahili na mkikuyu au Mjazee(jaluo) wa Nairobi!! impossible! jamaa ni wabishi na wanaamini wabongo hakuna tunachokijua zaidi ya kuongea kama kasuku.

    lakini siku hizi naona waganga wa kibongo wamevamia Nairobi wanaonyesha kuwa hata wabongo wana akili manake wanawatapeli kishenzi!

    ReplyDelete
  12. We anon 5:32.00. umenifurahisha sana. Hii kali

    ReplyDelete
  13. Kwenye kiswahili hakuna neno MATEJA kwa hiyo sote hatujui kiswahili fasaha.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...