
MAREHEU ETHRO GADAU WELLA
Mwaka mmoja umepita, tarehe 07 August 2008 tunaikumbuka kwa uchungu mkubwa ambapo mpendwa wetu Ethro Gadau Wella ulituaga na kutuacha mme, watoto na wajukuu wako.
Ijapo tulikulilia kwa majonzi na huzuni kubwa, lakini Mwenyezi Mungu alikupenda zaidi na tunamshukuru kwa kila jambo hususan faraja kubwa na nguvu anazoendelea kutujalia huku tukiwa na matumaini ya kuwa iko siku tutaonana.
Misa ya kumwombea itafanyika Ijumaa tarehe 07 August 2009 saa 11.00 jioni katika Kanisa la Mtakatifu Gaspary, Mbezi Beach, Dar es Salaam.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe
Amina
Amina
rest in peace aunt. will always cherish ur wisdom and guidance. God Bless
ReplyDelete