Home
Unlabelled
mambo ya gado
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Agoia kwa apparel (nguo) sisi ni washoni tu - fundi cherehani.
ReplyDeletePamba yetu hawaitaki - wanataka tununue pamba yao au ya kutoka kwingine!
Ni kitu kimoja kwa Amerika kusema leteni vya kwenu; ni kitu kingine kwa m-Amerika kuweza kununua hata tunda la kutoka Afrika!
Hapa New York, vingi vya kutoka nchi maskini huwa vinauzwa huko kwenye 99 cent-Stores (hasa vya kutoka Mexico) na vilivyoingiz ki-feki kutoka Asia.
Kwani ni kweli export zetu huko america ni sifuri hadi leo hii agoa ina miaka ya kijana wa zaidi ya miaka 18?
ReplyDeletemichuzi umeonekana live sky television unakijua kimombo.hongera sana.
ReplyDeleteaaaah michuzi nimekuona hata mimi kwenye sky - Swahili Diaries(BEN - 184)...mbunge wa nanihii umejitahidi.....hongera!
ReplyDelete