
napenda kutumia nafasi hii kuwashukuruni wote kwa maoni yenu yaliyosababisha kuliboresha hili jarida number 10.
tunajitahidi kuwapatia burudani wapenzi wote wa soka ndani na nje ya nchi,
safari hii jarida la number 10 limefanya mahojiano na beki wa zamani wa ufaransa marcel desailly, pia tumeenda mpaka south africa na kuangalia maendeleo ya maandalizi ya fainali za kombe la dunia.
safari hii jarida la number 10 limefanya mahojiano na beki wa zamani wa ufaransa marcel desailly, pia tumeenda mpaka south africa na kuangalia maendeleo ya maandalizi ya fainali za kombe la dunia.
mambo yapo mengi kwakweli, chukua tu copy yako uone...
please please tuwasiliane kupitia
please please tuwasiliane kupitia
au
+ 255 713 350833
cheers!
shaffih dauda
mmetujuza habari za taifa stars ya 1980 bila kumtaja beki namba 4 Salim Amir(beki wa coastal union na alimweka benchi Tenga kwenye kikosi cha cha kwanza cha mpoland Slamowik wolk)
ReplyDeletehamna hata ka websaiti jamani au ndo mnaijenda bado haijaisha oki powa
ReplyDelete