Urgent Warning to All MTN,
VODACOM, TIGO AND ZAIN Users.
If you receive a phone call on your mobile from any person, saying that, he or she is a company Engineer or saying that they’re checking your mobile line and you have to press # 90 or #09 or any other number. End this call immediately without pressing any numbers.
There is a fraud company using a device that once you press # 90 or # 09 they can access your “SIM” card and make calls at your expense.
Again if you receive a phone call and your mobile phone displays (XALAN) on the screen Don’t answer the call, END THE CALL IMMEDIATELY, if you answer the call, your phone Will be infected with a virus. The virus will erase all IMEI and IMSI information from both your phone and your SIM card, which will make your phone unable to connect with the telephone networks. You will have to buy buy a new phone.
This info rmation has been confirmed by manufactures of Motorola and Nokia Phones.
PLEASE PASS ON THIS PIECE OF INFORMATION TO ALL YOUR FRIENDS USING MOBILE PHONES.
Regards,
Mdau Godlisten Mammba
Sio ukweli huu, ni uongo (hoax) wa kupoteza muda wa watu, uki Google utapata majibu zaidi, lakini unaweza ukasoma hapa ... http://www.hoax-slayer.com/xalan-hoax.html
ReplyDeletecan u please use the local language so everybody can understand. thank you
ReplyDeleteUnajua kuna chama chakuwafanya wenzao wajinga kwa kutunga uongo unaofanana na ukweli. Nakumbuka kuna mtu mmoja alituambia ukipiga simu yako namba moja moja moja, hizo moja zifike kumi na moja utakuwa unawasiliana na shetani.
ReplyDeleteHizi ni hulka za binadamu ambaye amerithi tabia za Ibilisi, kazi yake `kudanganya na kupoteza watu' Sijui anapata faida gani zaidi ya `zambi' Tumuogope muumba ukweli wa kumuogopa kuwa hata kila utakachokifanya ndani ya shimo ukiwa peke yako yeye yu-akuona.
M3
information from www.hoax-slayer.com is as follows:
ReplyDeleteThis supposed warning for mobile phone users simply combines two other hoaxes. None of the information provided in the email is valid for mobile phone users.
The first part of the hoax email claims that pressing #09 or a similar combination of digits will give a fraudster access to your sim card and allow him or her to make calls at your expense. This is untrue and has been denied by Australian telecommunications giant, Telstra.
Another version of the hoax claims the same trick can be used to hijack fixed phones. Although such a scam is theoretically possible on certain types of business telephone switching equipment that requires users to dial "9" to get an outside line, normal home phones or mobile phones are not vulnerable.
For more information about the #09 hoax, see:
Nine Zero Hash Phone Scam Hoax
The second part of the hoax claims that a virus that displays the word "XALAN" can destroy your mobile phone. This information is untrue. Although mobile phone viruses are possible, there is no virus like the one described in the email message. There are a number of alternative versions of the "warning" message, some of which list the word displayed as "UNAVAILABLE" or "ACE" rather than "XALAN". Telstra has denied the existence of such viruses.
tunaomba utafsiri kwakiswahili wengine hatujui englishi michuzi kama unapenda watu waelimike kwenye blog yako.bongo pia wanasoma hum sio wa ulaya tuu we vipi.
ReplyDeleteNendeni shule kama Kiingereza hamfahamu,tumechoka kuambiwa tutumie Kiswahili tu. Kwa nini hujui Kiingereza? Kwani shule haujafundishwa au hujamaliza? kiingereza na Kiswahili ni lugha mbili za Tanzania.
ReplyDeleteMi nachoshwa na watu wanaodai kiswahili kitumike, we unawezaje kuingia kwenye mtandao ka hujui hata cha kuombea maji, michu endeleza libeneke, hii ndo motivation ya mtu kwenda shule.
ReplyDeleteJamani msiwaseme wasiojua kiingereza kutojua kiingereza haimaanishi mtu hajasoma. wengi wetu humo tunaandika kiswahili kimakosa je hamjasoma? Je profesa mfaransa, mjerumani ambaye hajui kiingereza nae hajasoma? Na mtoto wa miaka mitano mwingereza anaeongea kiingereza kwa ufasaha nae kasoma? jamani tuache ungumbaru hapa.
ReplyDeleteBlog yenyewe ni ya kiswahili.
ReplyDeleteIna maana watumiaji ni wanaojua kiswahili n akiswahili. Haina maana kwamba asiyejua kiingereza asifungue na kufaidika na blog hii.
Mtu kaona habari ambao kwake inaweza kuwa na faida na pia anaweza kuelimisha wengine. Na anaomba habari iwekwe katika kiswahili ili aielewe na hatimae nae akaeneze ujumbe kwa wengine halafu wapuuzi fulani wanasema kama mtu haujui kiingereza eti kwa nini kufungua blog!
nani asiyejua mfaumu wa elimu wa Tanzania na mazingira yetu kwa ujumla?
Kwanza wewe unaemshangaa huyu anaetaka kujua habari hii katika kiswahili unao ndugu zako wangapi wasiojua kiingereza? Mpuuzi sana wewe.