Kaka michuzi pole na majukum ya kila siku zaidi katika kutuhabarisha mambo mapyaswali langu ni kutaka kujua mheshimiwa nanii alipotangazia taifa ifikapo october mabasi yote au magari yote ya abiria yawe na mikanda kwenye siti alikuwa anamaanisha kweli au alikuwa anatania maana mpaka sekunde hii ambayo ni week ya nenda kwa usalamanaona ma vehicle inspector wanakagua na kuruhusu magari ya abiria ambayo hayajafunagamikanda kwenye siti Tatizo naona viongozi wanakuwa wakali pale linapotokea tatizo tuu je hivi tutafika???
Mdau(abiria)
We mdau mbona una kihere here, si ungoje hiyo october ifike...ndo kwanza tupo 28 sept we ushakuja juu kama moto wa kifuu!
ReplyDeleteTANZANIA ZAIDI UIJUAVYO!!!!
ReplyDelete