Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. kama huyo mbuzi angeweza kuongea angekataa kabisa kubebwa hivyo naanini ameumia sana!huo ni ukatili kwa wanyama.

    ReplyDelete
  2. I hope huyo jamaa na mbuzi watakuwa marafiki na asimchinje awe rafiki yake kama mbwa na binadamu,unajua wazungu hawali mbuzi na wanawafanya pet wao ila mbuzi ni mgumu sana kuelewa upesi kama mbwa!

    ReplyDelete
  3. juzi umeonyesha jamaa anamkung'uta ngombe, leo mnaonyesha mbuzi anamkung'uta jamaa, yote haya yanafanyika kwa kisingizio cha usafiri, yetu macho tulete tena wanyama wengine kama nguruwe, fisi nk, lakini nadhani fisi waanga wanamtumia sana usiku kumpanda tena wanamuendesha kinyumenyume!

    ReplyDelete
  4. Huyo mbuzi alikuwa anapelekwa kuchinjwa ipatikane ndafu !

    ReplyDelete
  5. Ushauri ambao nitampa huyo mchapakazi ni huu,SIKU NYINGINE MVALISHE NEPI ASIJE AKANYEA NGUO ZAKO MAANA AUNA UNIFORM YA KAZI NA PIA MVLISHE HELMET PAMOJA NA WEWE NI WIKI YA NENDA SALAMA TUJIADHARI NA AJALI.

    ReplyDelete
  6. huku ulaya tunasema hii ni "ANIMAL CRUELTY" mambo gani ya kumbemba mbuzi? ni kumuumiza mnyama, tupige vita mambo kama haya.

    ReplyDelete
  7. Ashakum si matusi hawa watu ndio wanatembea na wanyama wapumbavu wakubwa, unamkumbatia mbuzi kama mke.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...