Mheshimiwa nanihii,

Awali ya yote napenda kukupongeza kwa kazi kumbwa unayoifanya ya kutuhabarisha na kutuweka up to date na matukio na mambo mbalimbali. On my behalf and on behalf of everyone who appreciate you work I would like to thank you million times.


Pili napenda kuchukua nafasi hii kutambulisha blog yangu (www.hotslice.blogspot.com )
hivi karibuni.

Blog yangu inawalenga vijana kutoka sehemu zozote duniani hasa wale walio katika Vyuo vya elimu ya juu, sekondali nk. Lengo ni kuwapatia vijana habari mbalimbali kuhusiana na mambo yanayowahusu kama Mziki, Movies, Michezo, sayansi na Tecknologia, celebrity gossips nk.

Blog ina waandishi kutoka vyuo na sehemu mbalimbali duniani ambao wako tayari kupatia vijana a variety of news. Kwa undani tembelelea www.hotslice.blogspot.com

Mdau
University of Cape Town
South Africa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Duuuuh si mchezo watu wameona kwa bro. michuzi ndo kwa kutokea kulaini.Easy!!!!!

    ReplyDelete
  2. ILA MICHU HANA DEAL, ANAPENDELEA SANA KUPOST HIZI BLOGU....

    ReplyDelete
  3. oyaa!! mbona websites zikipostiwa hamlalamiki..blogs ni kama sites tu..unataka kufungua web yako unafungua..isitoshe the idea behind is gud!!!!

    ReplyDelete
  4. Mdau mwenye blog mpya, uandishi wako wenyewe wasiwasi sasa utatuhabarisha au utatuchanganya tu. Usikurupuke! ningekushauri utumie muda kujifunza kuandika kwanza.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...