BARRICK GOLD, ONE OF THE LEADING GOLD MINING COMPANY IN THE WORLD HAD PLEADGED TO PROVIDE COMPUTERS AND BOOKS TO SAINT JOSEPH PRIMARY SCHOOL AS THEIR APPRECIATION AND SUPPORT FOR THE ONE OF THE ELITE PRIMARY SCHOOLS IN THE COUNTRY.
BARRICK'S COMMUNITY INVESTMANT MANAGER MS ESTHER YAMAT PRESENTED HER COMPANYS PLEDGE DURING THE 5TH GRADUATION OF THE SCHOOL HELD IN DAR ES SALAAM YESTERDAY.
SAINT JOSEPH PRIMARY SCHOOL RESULTS SHOWS THAT IN 2005, SOME 30 PUPILS SAT FOR STANDARD SEVEN EXAMS AND ALL WERE SELECTED TO JOIN FORM ONE. ALSO IN 2006, 2007 AND 2008 ALL PUPILS WHO SAT FOR STANDARD SEVEN EXAMS PASSED AND WERE SELECTED AND JOINED FORM ONE IN DIFFERENT SCHOOLS.
THIS YEAR 33 PUPILS HAS SAT FOR STANDARD SEVEN EXAMS HELD EARLY THIS MONTH AND IF PREVIOUS RECORDS ARE ANY INDICATION, SIMILAR RESULTS ARE EXPECTED.
jamani hii school iko wapi nimpeleke mwanagu? i just like it, very smart! please help.
ReplyDeleteIpo forodhani secondary school,karibu na kanisa la st Joseph.
ReplyDeletemdau wa wales.uk
Smart but with another graduation- gowniasis endemic
ReplyDeleteLakini hicho kiEnglish kilichoandikwa kuhusu performance ya wanafunzi wa shule hii mbona kina kona kona nyingi mno. Shule hii inahitaji msaada katika nyanja ya lugha- isje ikawa wanafunzi wanafunzwa kiEnglish cha namna hii.Shule hii iko Salasala na nadhani ina maaadili mema- lakini KiEnglish.........
ReplyDeleteLakini hicho kiEnglish kilichoandikwa kuhusu performance ya wanafunzi wa shule hii mbona kina kona kona nyingi mno. Shule hii inahitaji msaada katika nyanja ya lugha- isje ikawa wanafunzi wanafunzwa kiEnglish cha namna hii.Shule hii iko Salasala na nadhani ina maaadili mema- lakini KiEnglish.........
ReplyDeleteHipo hapoa Nyuma ya saint Joseph's cathedral Dar Es salaam, ilipokuwa zamani Forodhani Primary school. Ni shule ya Kanisa katoliki -Jimbo Kuu la Dar E salaam; Lakini shule inayo pokea wanfunzi wa Madhehebu yote, mwaka huu amemaliza Nephew wangu ambaye yeye ni dini yake ni mwislam. Naona ataendelea nao katika sekondari yao iliyopo Kinyerezi.
ReplyDeleteHahaha....Huyo PARENT naona kaingia kwenye dance floor Kingwasuma ngwasuma hivi. Hebu nisaidieni jamani, hivi Wakongoman nao wanasomesha watoto wao hapo?
ReplyDeleteHongera Mama Yamati ulikuwa SEDA Arusha naona mambo yako yanazidi kuwa juu
ReplyDeleteMC: Mzee Gaudensi Iyelaa.a.k.a "Mwana Shule". Kama umekusanya chochote kwa ajli ya kazi hiyo ya U-Mc usisahau kuemga kidogo kwa ajili ya shule yako ya zamani Saint Peter , Morogoro,.
ReplyDeleteHongera kwa kazi nzuri.
ANON 01:20 UNAWEZAJE KUSHANGILIA MAFANILKIO BILA NGWASUMA? HATA YESU NI BWANA INACHEZWA KINGWASUMA-NGWASUMA SIKU HIZI
ReplyDeletewow! yani ii shule ni mzuri sana nimesoma kwanzia darasa lakwanza mpaka la saba nawaomba wazazi kama mnataka watoto wenu wewe na maadili mazuri muwapileke hapa.
ReplyDeleteNi kweli muandishi wa habari anahitaji brush up. English ya jeshini.....sijamuona lakini atakua na heavy accent kweli. Ukisoma habari yake utazania mjita.
ReplyDeletePale kupata nafasi kazi kweli....Shule zote zinazofanya vizuri ni huwa wanachukua wanafunzi wenye vipaji. Walimu hawataki kujituma wanataka maji mara moja tu. Ukimpeleka mtoto wako pale kama sio maji mara moja utalia nao.Siku hizi hakuna anayetaka kutumia nguvu nyingi kufanya kazi.
ReplyDeleteHi
ReplyDeleteNahitaji maekekezo ya kupata nafasi kwaajili ya watoto wangu kujiunga kidato cha tano katika michepuo ya HGL na ECA. Nitapataje nafasi? Forms zinapatikana wapi? Gharama zake kwa mwaka ni kiasi gani?
ha ha ha ha ha ha ha ha ts a n'c school nilisoma hapo primary
ReplyDelete