Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 17 mpaka sasa

  1. MICHUZI HIYO GARI ITATOKAJE HAPO BAADA YA KUJENGWA HUO UZIO? HIYO NI SAWA NA KUKATA TAWI LA MTI ULILOKALIA KISHA UNAANGUKA NALO.

    ReplyDelete
  2. mkuu michuzi mara ngapi utaleta hii kitu? hivo vizuizi ni removable mkuu wangu na vinakuwa na locks. Nikipita sehemu ambapo vipo huku ughaibuni nitakutumia picha mkuu wangu ili umalize hili tatizo!

    ReplyDelete
  3. Ah hiyo gari hapo inatoka bila ya wasiwasi. Dunia imeendelea sana kuna mawinchi yatakuja hapo na kuibeba.

    Pili, inawezekana kuwa hizo poles in detachables, kwa hiyo wakimaliza wanazichomoa kutoka katika kitako chake gari inapita halafu zinarejeshwa kwa ajili ya kufunga uzio

    ReplyDelete
  4. HAKI YA MUNGU SIJAELEWA

    ReplyDelete
  5. Hapo nadhani ni NBC Corporate Branch na hao ni mafundi wa BH Ladwa. Halafu upenyo baina ya kiguzo na kiguzo inaonyesha kuwa hicho kigari kitapenya.

    ReplyDelete
  6. na mimi nilikuwa sijaelewa. ushamba mzigo wa kuni.

    ReplyDelete
  7. hizo nguzo huwa ninaweza kufungiliwa kufuli kwa chini na kisha kulazwa, ila sio kama kuna ugumu wowote kutoka hapo, wabeba mabox ndio kazi kazi zetu hizo hatushangai sana tena inalipa kwa sana.

    ReplyDelete
  8. Hizo poles zinatoka.Coz I have seen them somewhere where wanazitoa kama screw au msumali. i dont know niiteje lakini I know zinatoka.

    ReplyDelete
  9. Aisee hicho chuma cha kushoto kirefu kuliko kuliko vingine, kina sensor na huwa kinazama chini kuruhusu magari kupita. huku Ughaibuni ni vitu vya kawaida

    mdau Trondheim

    ReplyDelete
  10. WALA SIKUELEWA NILIDHANI KUNA MDAU KAMPIGA PICHA MABEBA MABOX MWENZIE ANATAKA BAADAE ATUPE JINA AHHAHAH

    ReplyDelete
  11. Nenda kwenye geti la kutokea katika parking lot ya AICC Arusha utaona mfano wake. Chuma hizo zinazama chini kwa umeme au hydrolic.

    ReplyDelete
  12. uwiiiiiiiii hata mie nilikuwa nimeachwa hapo sikuelewa kabisa....aaah mpk kusoma comment ndio nkajua maana ya picha....uwiiii kichwa cha pazi msinilaumu!

    ReplyDelete
  13. jamani hizo poles inawezekana ni automatic ambapo zina-sense gari na kubonyea chini halafu zinarudi juu gari likishapita.ila zina sense authorized cars/buses only.hapa UK zipo kibao kwa ajili ya kulimit magari yanayopita au kupark kwenye hiyo barabara/sehemu.

    ReplyDelete
  14. SIYO LOCKS TU, KUNA VINGINE VINAZAMA CHINI KWA KUTUMIA REMOTE CONTROL, VINGINE NINA SENSOR GARI IKIKARIBIA VINAZAMA ARDHINI NA IKIPITA VINATOKA, TEMBEANI MUONE MAMBO.

    ReplyDelete
  15. mbona sijao cha ajabu hizi poles zinawekwa tu na kutulewa is not permanent, ie movable poles hakuna cha zaidi michuzi

    ReplyDelete
  16. VINACHOMOKA HIVYO

    ReplyDelete
  17. nimeamini wabeba mabox wangi,kaka wadau wengi wako wanabeba mabox?mwezangu na mimi ningejulia wap?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...