Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Nataka nikikute Elimu Supplies.

    ReplyDelete
  2. hatua nzuri na yenye mwelekeo wa maendeleo. tatizo ni moja, branding ni poor.

    jina darda king haliendani na mashairi ya kiswahili, nadhani tatizo hili ni reflection ya artists wetu wote - wanapenda majina ya kiingereza, isipokuwa nakaaya na baadhi wachache.haina maana kwamba hatauza copies though.


    iron ni kwamba kati yao, nakaaya anayemudu vyema kiingereza, hana ulimbukeni wa majina ya ajabu.

    tunataka branding ya kiswahili.

    ReplyDelete
  3. Mdau hajatueleza walio bongo watakipata wapi kitabu hiki.

    ReplyDelete
  4. Salaam Wazawa,
    Mara nipatapo jibu kutoka kwa wasambazaji wa vitabu Afrika Mashariki nitawataarifu maduka kitakapopatikana kitabu hiki murua.
    Wasalaam.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...