mdau jackson mbando akiwa na mai waifu wake martha mwale mara tu baada ya kumeremeta jioni hii katika kanisa la kilutheri la kijitonyama, dar. jackson ni meneja uhusiano wa tigo na mai waifu yuko barclays bank
bosi wa bwana harusi akiwapongeza maharusi baada ya kumeremeta
martha akimwaga wino
jackson akianguka
anko alikuwepo. tino ndiye mpambe





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Hongera maharusi, ila Anko viatu vina Vumbi, ulienda harusini kwa mguu nini...DUH, pole.

    ReplyDelete
  2. hongra maharusi

    ingekuwa sio mzungu anatoa pongezi sidhani kama wangegeuza shingo na kushangaa hivyo

    oya weee

    ReplyDelete
  3. Anko eeh! kweli wewe msaka nyoka. Yaani mtu akiangalia miguu yako jinsi viatu vi8livyokuwa na vumbi inaonekana kuwa Anko ni mpiganaji hasa. Kale kausafiri vipi wenyewe wameshakachukua?, maana haya mambo ya kusaga sisimizi na vumbi la bongo inabidi umuone shoe shiner kila mwisho wa safari

    By the way hongereni maharusi

    ReplyDelete
  4. kwa kweli vigogo wa marketing mmependeza ile mbaya,hongera sana kigogo Jackson!Tino unang'aa,masanja tu ndo sijamwona team ikamilike?
    Kigogo wa mby-UK

    ReplyDelete
  5. Ankoo tangu tukusifie hizo pamba basi imekuwa nongwa! umezitinga hizo hizo wiki nzimaa! mpaka kwenye mnuso umetinga nazo na joto lote hilo la bongo! Na inaelekea umetembea toka tandika mpaka mjini kwani hicho kiatu haujakifuta vumbi! hahaaaaaa uzuri wa kuwa na mjomba unamtania unavyotaka! chereees!

    ReplyDelete
  6. hongera sana maharusi hasa bibi harusi amependeza sana nije kwa bwana harusi nafikiri kwako liwe somo kwa wasiofunga ndoa kwani naona suti km amekosa mazoezi kwako hili usiiogope
    naomba nitoe ushauri kwa wale mamboa wanataka kuoa kuwa wanunue suti mapema ikiwezekana hata miezi miwili hili yafuatayo yafanyike
    1.kuifanyia mazoezi kidogo ukiwa kwenye kioo kikubwa chumbani kwako
    2.kuangalia uwezekano wa kuitawala suti hiyo hili ikutoe kwa sana
    3.pia uweze kuwa na pozi la kupiga picha vizuri maana suti ina pozi zake jamani
    asante

    ReplyDelete
  7. HONGERENI MAHARUSI. ILA KAKA MICHUZI ANGALIA SANA HILO TUMBO FANYA MAZOEZI NA UPUNGUZE MAUGALI

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...