jengo la klabu ya simba sc mtaa wa msimbazi
street jijini dar linahitaji ukarabati na matunzo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Hapa labda ipatikane EPA nyingine ili upatikanaji wa fedha kama ilivyokuwa kwa watani zipatikane!!!

    ReplyDelete
  2. limefubaa

    ReplyDelete
  3. Speaking of sports club, wadau ninafurahi kuwaambia niko kwenye hatua za mwanzo kuanzisha a sports club. Nitaweka maelezo zaidi in 2 weeks katika www.SabaSevenWorld.com. It's an ambitious idea lakini ninayodhani itafika mbali.

    ReplyDelete
  4. Sawa"Mtaa wa Msimbazi street" umechanganya maneno kaka..........

    ReplyDelete
  5. kiswahili bwana! kwa nini usiishie mstaa wa Msimbazi tu, kuliko kusema "mtaa wa msimbazi street" au ulikimbia umande?

    ReplyDelete
  6. TEh teh teh teh....unatafuta matusi, tena ya nguoni ha hahahaa........

    ReplyDelete
  7. MTUME AIBUUU

    ReplyDelete
  8. George MwalusakoOctober 20, 2009

    MUHIMU KWETU KUPIGA BALL TUUU

    ReplyDelete
  9. Mambo ya Simba tuachieni wanaSimba tafadhali... tuna mipango nalo endelevu hilo jengo, tunakusanya kodi ya hilo la pembeni zikishatimia tunakarabati hilo hapo

    ReplyDelete
  10. embu tuonyeshe na la YANGA tafadhali

    ReplyDelete
  11. Mtaa was Msimbazi street...ni sawa sawa na center bolti ya kati kati...
    regardless Michu I was born in dar & Msimbazi street accross from Simba sports club...I love the memories,,,asante sana for the memories

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...