jana usiku kulikuwa na dhifa iliyoandaliwa na Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) katika hoteli ya New Arusha ambapo kulikuwa na mnuso na dansi. Juu mjumbe toka Maldives akishukuru zawadi aliyopewa na Rais wa CPA na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samwel Sitta, baada ya kutoa burudani ya kuimba wimbo wa 'Malaika' kwa ustadi mkubwa. Shoto ni kaimu Mkurugenzi mkuu wa Consolidated Holding Corpration, Bw. Methusela Y. Mbajo ambaye ndiye aliyefadhili hafla hiyo, akifuatiwa na Mwenyekiti wa PAC tawi la Tanzania, Dk. Raphael Chegeni na Mh. Sitta.
Kiongozi wa upinzani katika bunge la Bermuda amezidi kuwa kivutio sio tu kwa pamba kali bali pia kwa kupenda kulisakata rhumba. Hapa anayarudi mangoma ya Bob Marley ya 'One Love'
meza kuu. Shoto ni Mh. Anna Abdallah ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya kinamama ya PAC, Bw. Methusela Y. Mbajo, Dk. Raphael Chegeni, Mh. Sitta, na viongozi wengine wa PAC







Mh! namuona Anna Makinda hakauki pembeni ya mzee wa Bermuda i suspect ajuza anazimia legs za mzee kibukta.
ReplyDeleteWe Michu uko kazini au uko vekesheni? mimi najua ukiwa vekesheni unapumzika hufanyi kazi!
ReplyDeletetruly tanzanian, I like the hospitality.
ReplyDeleteWe mtoa maoni wa kwanza uwe na adabu! AJUZA MAMA YAKO!Ajuza mkeo!Ajuza dada yako!
ReplyDeletelooks extravagant. money would have been better spent elsewhere......anyway priority yao ni ku-impress wageni.
ReplyDeleteacha hizo wewe picha moja tu kutokea pamoja ndio unasema hakauki?!
ReplyDeletealovaa kimasai ndo kusema anadumisha ya waziri Pinda tusivae suti za kithungu?
ReplyDeleteok
kila siku vikao vya kipuuzi na hakuna mabadiliko africa zaidi ya njaa na mateso...vikao vya ngono hivyo kwa wabunge.mdau money.
ReplyDelete