hallo brother michuzi
mimi ni mtanzania, nipo hapa marekani, kwa kusoma, kwa muda kidogo, ningakuwa happy kama ningepata mtanzania anayeishi Indiana.
Mie nipo Indiana, mji unaoitwa West Lafayette, chuoni (PURDUE UNIVERSITY), ningefurahi kama kuna watanzania walio Indiana, wawasiliane na mimi through my email address,
saria1974@gmail.com.
Hujambo? mimi nipo indiana pia.. vipi wewe umeolewa lakini au bado upo upo kwanza? nimekutumia email naona hakuna jibu... email yangu ni kengetz@gmail.com
ReplyDeleteWatanzania wengi wapo Mishawaka na indianapolis
ReplyDeletesasa akiwa mwanaume atakuwaje ameolewa? au ameonyesha jinsia yake? kama hivyo samahani
ReplyDeleteachana na watanzania juwa lako, fanya mambo yako ukimaliza rudi nyumbani. Watanzania agani!?!?
ReplyDeleteNamuunga mkono Anonymous alosema wapige chini hao watz unaowatafuta,very wise advise kwa kuwa majority wana full Phd(Pull,him/her,Down)
ReplyDeletejali elimu yako achana na watanzania marekani wanafiki sana kama unaupenda poa watafute ila nakushauri kwanza kaa nao mbali soma kwanza
ReplyDeleteWivu tuuuuu huo ati watanzania marekani wanafiki. Sijui nini na nini? Wote hao mnaosema hivyo mko wapi nyie? Marekani mnaisikia tu kusoma kwenye mablog...Mnazania watu wana mda mchafu kama nyie? Bahati mbaya siko India ningekutafuta lakini ukitaka mwenyeji NYC sema mimi nitakupa contact zangu siku ukiamua kuja huku nikupokee.
ReplyDeleteEti unatafuta wa Tz wa hapa Indiana? Mambo ya kama kule nyumbani hapa hakuna jitahidi kufanya kilichokuleta la sivyo kalaghabao.
ReplyDelete