
Have you got something to send back home from the UK?
We offer a fantastic Air service where you pay once only and your goods are delivered to your loved ones door step for £4.00/kg (+25 handling fee) .
Goods take no longer than one week from the time they leave our Barking office.
Our agents in Dar es Salaam will clear your goods, then phone you to arrange a delivery time and location.
For goods going outside of Dar es Salaam,
please ring Emmanuel Kwayu to make delivery arrangements on
0754 422383
or
Dolpin Sea & Air LTD,
Masasi Building,
Uhuru Road,
Adjacent Annex Kibodya,
1st Floor,
Room NO 3
+25 WHAT?
ReplyDeleteHii iaonyesha umakini wenu katika kazi!
haki ya nani hii kitu ni nzuri kweli na huku canada wapi au kuna mtu gani anashughulika na ishu kama hizi? wekeni humu tafadhli tusome manake roho juu kweli kutuma vitu home maana haviwafikii walengwa
ReplyDeletemiss michuzi
+25 what?
ReplyDeleteMtu anayeweka figures muhimu kwenye bracket kana kwamba sio detail muhimu ni msanii!
thats a good idea, its better to use this system kuliko kufika Dar Wezi international Airport na mzigo unapotea au unaibiwa na wafanyakazi wa airport. I will this system no problem. at least kuna uwakuika wa kupata mzigo wako bila wasi wasi wowote. Thank you for this, is going to make life so easier
ReplyDeleteMimi nashangaa mnaposema una deliver mzigo wiki moja baada ya mzigo kutoka Barking London siyo kupokelewa Barking London, ina maana hakuna guarantee lini utafika inategemea nyinyi mtatuma lini, tungoje mkusanye kwanza mzigo hata kama baada ya mwezi au miezi,mkishatuma ndiyo tuhesabu wiki. Hapo naona kama hamuko wazi, best deal ni pale unapopokea mzigo Barking tuelezwe wazi kwa air freight baada ya siku ngapi tutakabidhidhiwa mizigo yetu katika anwani tutakayotoa. Siyo mukusanye kwanza mpaka ifike kilo 1000 ndiyo mtume. Chukueni mfano wa Dewji(Msafirishaji) hapa London japo si door to door ukimpa mzigo anakuambia wazi ukileta siku fulani utandoka na kufika Dar siku fulani inatemea mzigo umeleta siku gani na ndege anayotumia kwenda Dar inaondoka lini na inakua si zaidi ya siku 5 mzigo unaondoka ukiitime ndege vizuri ndege kesho yake mzigo unaondoka.
ReplyDeleteHapa ni kweli naona kama lugha iliyotumika inachanganya, mnasema mzigo unafika wiki 1 baada ya kutoka Barking UK, sasa mimi mteja ntajua vipi lini mzigo utatoka Baking mimi nachojua nimekabidhi mzigo kwenu tarehe gani? Sasa nyinyi cha kusema ukikabibidhi mzigo wako baada ya siku fulani mzigo utakua katika anuani uliyotupa Dar. Kwa mujibu wa charges zenu mumeweka £4 kwa kilo ambayo ni kubwa lakini siyo mbaya na mumeongeza handling £4 nayo siyo pia sio mbaya, ila kilichobaki kilichobaki atleast wekeni wazi nikileta mzigo wangu na mkaupokea baada ya siku ngapi mzigo wangu utakafikana kukabidhiwa katika anuani ntakayotoa.Sio natoka London naenda TZ mpaka narudi mzigo wangu bado upo Barking na makubaliano yetu kwa mujibu wa tangazo lenu utafika wiki baada ya kutoka Barking hapo hujanishinda, ntalalamika nini.
ReplyDeleteNasahihisha comment niliyotuma hapo juu handling isomeke kama £25 bada ya £4 iliyoandikwa kimakosa.
ReplyDeleteWe mchaga ni noma aiseeeeeeeeee good idea.Nakumbuka huduma safi niliyopata hapo kwako uko na watu makini sana kama akina Tina Erick na wengine .nategemea kutoa ile magari yangu tena mwenzi december
ReplyDeleteKweli Nimekukubali Kijana Kwayu Hii Ni Hatua Nzuri ya Kuelekea Kwenye Mafanikio Zaid,Nakupongeza hongera sana na Ni Jambo la Kuungwa Mkono
ReplyDeleteNakubali Services yako 100% Kuna Gari nimeagiza nitakona Unifanyie Kama ulivyofanya Kipindi kile CHARLES