ukiwa unaingia ama unatoka a-taun, kilomita chache katika barabara kuu ya kuelekea moshi kuna kiota kipya ambacho kina mwezi wa pili sasa toka kifanyiwe ufunguzi laini, kikisubiri ufunguzi rasmi siku chache zijazo. snow crest hotel tayari ni tishio kwa zingine a-taun. habari zake zaidi nenda www.snowcresthotel.com
mandhari ya mbele
bwawa la maini
mapokezi
lonji
ngazi kuu
uani....
chumbani
kwa nje
bonge la lifti la kisasa lipo masaa 24










Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. Hii, hoteli inafanana na Apartments za kuishi watu kwa wenzetu waliokaa nje hasa USA.
    Hakuna jipya hapo

    ReplyDelete
  2. unasema mandhari ya mbele wakati umepiga katikati,ni hiyo hapo juu picha ya hiyo..... yenye maelezo hapo juu.
    Naona bwawa la maini wakati lina rangi ya blue kama Chelsea.

    ReplyDelete
  3. Mimi nimekaa USA for more than ten years sijaona apartment za ivo na space za kumwaga,au wewe ni US ipi hiyo unazungumzia. watu bwana, kila kitu US! hujui US kuna mitaa ina panya ndani kama vijijini tu! au unajiona ndio umefika sana. Ushamba unakusumbua, kama kitu ni kizuri tukisifie, hata kama kinalingana na apt za US, hizo ni US kwa tz tunaona wamejitahidi, acha kukatisha watu tamaa wewe.

    ReplyDelete
  4. Swal ndugu sio kufanana na apartments issue hapa ni huduma na mazingira mazuri ya kupumzika. Kufafanana na apartments sio tija kabisa ni hoteli nzuri inavyoonekana kwenye picha na bei zake zipo reasonable sio mbaya kufananisha na Kempinski serengeti. Ipo ya kishikaji na angalau watanzania wanamudu kwa hela ya mshahara wako wa kawaida.
    Naifagilia kwani nipo ninaishi jirani na hiyo hotel.
    Mdau USA

    ReplyDelete
  5. Wewe uliyetoa comments kuwa inafanana na apts za USA,that`s your view.Hotel ni nzuri sana,nice view, good architectual,it looks very contemporary & clean too.I hope they will have a good customer service.Tutaacha lini kuona vyetu sio vizuri?I live in US,that`s superb Hotel & I give them thumb up!!!GO TANZANIA.I hope more to come!!

    ReplyDelete
  6. Now I can see Arusha is surpassing Dar es Salaam

    ReplyDelete
  7. poa sana mkuu.
    but what is with that name?
    snow crest?!?! snow in Africa....mhm.
    labda kimombo changu ni shallow!

    ReplyDelete
  8. yani wewe mtoa mada hapo juu ni mtumwa na uzidi kuwa mtumwa milele na milele, ndo nyie mnazamia kwa nchi za watu kurudi kwenu hamtaki.

    Kwa taarifa yako hiyo hoteli ni ya ukweli na imetulia tuliii,acha roho ya kwa nini.

    HOpe ujumbe umekufukia,

    ReplyDelete
  9. Hamna hata haja ya kumjibu huyo JAMAA NA USA yake. Kwani what is wrong with appartments. Appartments nyingine ni bomba kuliko hata hotel, tena zipo hapo hapo bongo. Hebu tembelea mikocheni uone appartments ziitwazo 5 STARS, utagundua baadhi ya hotel ulizozizoea hazifikii hizo appartments. Tena mmiliki wake ni mbongo mweusi

    ReplyDelete
  10. kuna watanzania wa ajabu sana inamaana watu hatujui kuwa kuna snow crest tanzania? kweli tembea uone.

    ReplyDelete
  11. Hoteli inaridhisha, ni jambo zuri. Kitu ambacho kwenye picha kinatia shaka ni urefu kutoka sakafuni hadi darini. Hasheem Thabeet atajisikia amani kupita hapo au itakuwa kama kupita kwenye tundu la panya?

    ReplyDelete
  12. Michuzi leo hujajifotoa mwenyewe?

    Teheteh teh!

    ReplyDelete
  13. and to the anon who says " kweli tembea uone" mie nimetembea kuliko unavyojua.......in fact kwa sasa niko nearby one of the highest point in far east!
    sasa kama unazungumzia hio snow cap ya Mount Kili..........that hotel is a long way from there, my man!
    ni sawa na kuwa na hotel DC then uite Lady Liberty inn! you follow me?

    ReplyDelete
  14. Arusha iko juu Chali 'angu. Siendi Dar mimi - kwanza kuko mbali.

    ReplyDelete
  15. We unayeringanisha apartments za Us na hotel huna MAAJABU...next tym ukae kimya.

    ReplyDelete
  16. WEWE UNAESEMA KIMOMBO CHAKO KIBAYA NI KIBAYA KWELI. UNASEMA AFRICA HAKUNA SNOW KWANI HUJUI KUWA MLIMA KILIMANJARO UNA SNOW, AND NOT ONLY THAT SNOW HUANGUKA WAKATI WA WINTER IN SOME PARTS OF NORTH AFRICA AND SOUTH AFRICA. HOTEL ZOTE ZA US SIO NZURI KUNA NYINGINE MBAYA HATA HUWA NA KUNGUNI, PANYA NA MENDE. MIMI NI MKENYA NILIKUA ARUSHA RECENTLY NA NILIPENDA SANA HOTEL ZAO.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...