Rais wa Rwanda Mh. Paul Kagame akipata maelezo toka kwa mmoja wa maafisa katika banda la Tanzania kwenye Mkutano wa Telecom World 2009 uliofunguliwa na katibu mkuu wa UN Ban Ki Moon leo huko Geneva.
Rais wa Rwanda Mh. Paul Kagame akitembelea banda la Tanzania Geneva leo
maandalizi na ufunguzi wa Mkutano wa Telecom World 2009
uliofunguliwa na katibu mkuu wa UN leo mjinbi Geneva. Huu ni sehemu ya ujumbe wa Tanzania katika mkutano

Mkurugenzi Mkuu TCRA Profesa Mkomwa na maafisa wa TCRA wakipewa maelezo kwenye banda la Tanzania kwenye maonesho ya technlogia
Mkurugenzi Mkuu TCRA Profesa Mkomwa (shoto) akipewa maelezo kwenye banda la Tanzania kwenye maonesho ya technlogia
Washiriki wa maonesho ya teknolojia ITU Telecom World wakimsikiliza
Mkurugenzi mkuu wa TCRA (hayupo pichani) wakati wa maandalizi ya mwishomwisho jana jumapili mjini Geneva ndani ya jengo la maonesho la Tanzania
banda la Tanzania huko Geneva tayari kwa maonesho. washiriki ni TCRA, Wizara ya
Mawasiliano TZ na wadau wengine







Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 19 mpaka sasa

  1. Huyo Peter Ulanga akimpa maelezo Raisi Kagame. Kichwa cha Kibaha Secondary hicho.

    ReplyDelete
  2. at least tunaona vitu made in bongo.

    ReplyDelete
  3. huyo anayempa maelezo Kagame anafanana na Peter Ulanga. jamaa ni maakili sijaona mfano wake.

    ReplyDelete
  4. Kagame is analytical and sensible planner, He is listening carefully to our Telecom experts, no wonder he is going to take them to Kigali for better Rwanda, since we don't know how to make use of our experts

    ReplyDelete
  5. yes i know this guy too.kichwa!

    ReplyDelete
  6. Kweli Tanzania kuna vichwa hatari kabisa, picha ya sita wa kwanza kushoto Dr.R. Mfungahema alikuwa moto wa kuotea mbali huko Japan.

    Si bure Mh. Kagame ameshapata taarifa anajiuliza yupi wa kwenda naye Rwanda.

    ReplyDelete
  7. kaka nanhiii jamaaa wametutoa ila siku nyingine watafute wataalamu wa upambaji. banda la kimataifa liwe tofauti kidogo na mnazimmoja. ila big up mwanzo mzuri

    ReplyDelete
  8. jamaa wa tanzania wamejitahidi ila next tamu wafuate ushauri wa mzee pinda, badala ya T shirt Batiki inafaa.

    ReplyDelete
  9. mapambo jamani mapambooooooooo mabanda ya nje tujitahidi jamani sio sabasaba hiyo mbona hivyo watanzania?

    ReplyDelete
  10. Kibaha ama AZANIA. Kichwa cha AZANIA HICHO. Wacha uzushi

    ReplyDelete
  11. Peter Ulanga ni kichwa cha Azania Sekondari hicho.

    ReplyDelete
  12. Hiyo picha ya kwanza, huyo dada kama namkumbuka vile! Siyo Clara Ichwekeleza tuliyekuwa wote Shule ya Sekondari ya wasichana Tabora miaka 25 hivi ilopita. Kama ni yeye, alikuwa kichwa sana pia!

    ReplyDelete
  13. Peter:Azania O level & Kibaha High school. majibu yote sahihi

    ReplyDelete
  14. Wewe uliyeandika Clara, wala hujakosea ni yeye. Dada habahatishi, upstairs si mchezo

    ReplyDelete
  15. Kweli Watanzania kwa theory kiboko,tunachokiona ni theory nyingi sana lakini practically bado tuko mbali.Nawaomba wasomi wa Tanzania muoneshe elimu yenu kivitendo.Tumieni elimu yenu kwa manufaa ya taifa na muepukane na siasa kwani wasomi wengi wanakimbilia ubunge.Hata sabasaba ya bongo tuliona mengi sana pale kilwa road ambayo mtaani hayapo.

    ReplyDelete
  16. Hongera sana dada Clara (Clarence Ichwekeleza)! Picha yako na maelezo ya watoa maoni wawili hapo juu vimenikumbusha mabali sana, enzi za shule ya msingi Kajunguti. Uwezo wako kiakili na upole ni vya siku nyingi, uzidi kubarikiwa dada!

    ReplyDelete
  17. nawapongeza washiriki wote katika maonyesho hayo ya ITU kwakweli mumetuwakilisha vizuri sana basi natoa changamoto kwa ofisi ya ubalozi hapo geneva kuna maonyesho ya kina mama wa ubalozi yanayokaribia angalau nao waandae kitu kama hiki jamani mwaka jana mliaibisha kabisa,wakati ndio sasa mujiandae mapema,banda la tanzania lipendeze jamani...msisubiri dakika za mwisho nyie ndo mawaziri wetu huko .

    ReplyDelete
  18. Nyie Mnaobisha kuwa Peter Ulanga hakusoma Kibaha Secondary, nendeni pale Tumbi muulize Peter ni nani. Amevunja rekodi zote za Shule hajafikiwa, kichwa Computer hicho

    ReplyDelete
  19. Naomba nikuulize wewe Vic unayemfahamu Clarence umesoma Kajunguti? Na mi nimesoma hapo, tafadhali tuwasiliane kupitia gshengo@hotmail.com

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...