kama wakina
Cassius Maganga Mlewa
Deodatus Haule
Mzee Ibra (Mzee wa drum)
Noman Bikaka (mzee wa solo
yule jamaa wa zanzibar alikua anapiga sucker-phone
na yule mtaalamu wa kupiga marimba na kupiga ngoma aina ya JEMBE
na nyimbo zao za ukweli kama
Neema Neema
papara (kibwagizo nilikua nakipenda sana " kati ya nguvu na akili moja ishinde papara iyooo, Papara papara pupa ni uchara"
Jua lizame ( hii ndo usiseme naipenda kweli kweli)
firenyimbo ya senses
wanawake na maendeleo
yule jamaa wa zanzibar alikua anapiga sucker-phone
na yule mtaalamu wa kupiga marimba na kupiga ngoma aina ya JEMBE
na nyimbo zao za ukweli kama
Neema Neema
papara (kibwagizo nilikua nakipenda sana " kati ya nguvu na akili moja ishinde papara iyooo, Papara papara pupa ni uchara"
Jua lizame ( hii ndo usiseme naipenda kweli kweli)
firenyimbo ya senses
wanawake na maendeleo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...