Home
Unlabelled
CATHERINA ANAWAKAWAKA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Katarina, Hongerasa sana umependeza, kubali kuishi kama Mama Bikira Maria ili awe mlinzi kwa maisha yako. Mshike Yesu kwa mkono wako wa kuume. UTASHINDA KILA KITU.
ReplyDeleteKUWA CATHERINE TUKUTUME
ReplyDeletendugu michuzi sasa mnataka kuharibu blog yetu kwa kuweka mambo yasiokuwa na msingi,kipaimara,komunio siju harusi vyote watavipata kwenye nipashe na majarida mengine hapa ni kazi kazi tu na mambo muhimu ya kuelimisha jamii sio hayo ya komunio,ebu lifikirie suala ili tukiweka mambo ya arusi watu watajaza blog yote kwa picha za arusi,kwani wanaweza kuiambia kamati ya arusi lipia kwenye blog na mi nionekane namelemeta.stop those funny things.
ReplyDeletemdau.
mie hiyo keki tu, very nice. bongo kwa ubunufu wa keki nawawapa hongera. hongera kat!
ReplyDeleteCatherine ufuate waliyokufundisha kanisani ukue, usome uje kuwa mdada mzuri.
ReplyDeleteAnonymous wa 03:45:00 PM
ReplyDeleteNenda Kafungue BLOG yako uamue nini cha kupost
na sio kumwambia Michuzi afanyeje na yake
BLOG ni free kufungua
Zamoyoni zamoyoni, nyonda..., hasira zitoe duniani duniani nakupenda wewe,... jamani tunda hiloooo, nitalipataje....!? tunda nalipendaaaa...., nitalipataje!?...
ReplyDeleteKikristo sio kikristu, wajahidina utawajua tuu.
ReplyDeletemdau hapo juu mbavu zangu wee wajahidina what??? ha ha haaaa
ReplyDelete