A new acquisition to the next season is ready for Gefle IF. Haruna Moshi with the stage name "Boban" is ready for the Gästrike Club.
The Tanzanin who was on trial training with the club last week impressed so much on the club management that they chose to tie the 22-year-old midfielder.
That we got stuck with "Boban" as he is a skillful player with great technique and potential, says coach Pelle Olsson Gävle.
For some reason Olsson would not say exactly how for how much the club has signed contracts with "Boban". - No, we are focused on it over several years. It is enough, "he says.
Pelle Olsson also believes that it was important for the club to secure top players as soon as possible on the central midfield, where the club has already lost Yannick Bapupa and Yussif Chibsah is on his way out.
Now that we have lost Bapupa and risk losing Chibsah it feels good to have signed with "Boban" said Olsson.
Kalmar FF were also interested in "Boban" but chose to discard him. Instead, he then signed for Gefle. He comes from Simba FC and has quickly made a name in the Tanzanian national team, for whom he played 16 international matches.
Boban arrived last night in Dar es salaam and is expected to return to Sweden when Gefle FC begin training for next season on January 4, next year.
For source
HEKO KWA KUITANGAZA CCM.
ReplyDeletesijaelewa kidogo Haruna Moshi ndo ana miaka 22?nisaidiwe hapo?
ReplyDeletejamani mambo ya siasa yanaingia vipi tena kwenye mpira acha kuturusha steam bwana cha muhimu ni kumpa hongera hutu jamaa kwani anaitangaza TZ yetu njee ya mipaka kept it young man we are with u.
ReplyDeletejamani mambo ya siasa yanaingia vipi tena kwenye mpira acha kuturusha steam bwana cha muhimu ni kumpa hongera hutu jamaa kwani anaitangaza TZ yetu njee ya mipaka kept it young man we are with u.
ReplyDeletekwa nini wachezaji wa yanga wakifanya majaribio wanashindwa popote pale, ngassa kashindwa, ambani kashindwa, cannavaro kashindwa, Ivo maximo naye kachemsha Ethiopia kwanini hivi
ReplyDeletewewe shabiki wa simba unayesema wachezi wa yanga wanashindwa kwani ni timu gani wanazo kwenda kufanya majaribio unazoziona wachezaji wa simba wanapita...tokaaa zako bora ya ngasa alikwenda kujaribu westham hao wa simba wanakwenda timu kama za sinza star...faru dume...makulumla united wanashinda wewe unaona kama wapepitaa....na huyo BOBAN ANA MIAKA 22 au ???? au
ReplyDeleteHii habari imfikia MAXIMO popote alipo
ReplyDeletehongera sana kwa we ni mfano wa kuigwa
ReplyDeleteHuyu lazima atakuwa mdogo wao na kina iddi na mrisho Moshi from tabora.
ReplyDeleteAMA HAKIKA RIZIKI YA MTU BINADAMU-MAXIMO HAWEZI KUZUIA.
ReplyDeleteBOBAN SAFI SANA CHAPA KAZI.UMUUMBUE MAXIMO.
Jamani Huyu Haruna Moshi ana miaka 22, ila inaonekana anakula sana msuba ndio maana anaoneka kama sivyo ndivyo
ReplyDeleteMnashangaa miaka??? Kanu ptangia namjua mpaka leo ana miaka 28. Kibabu hata kukimbia miguu haikunjuki.
ReplyDeleteLua Lua nimecheza na College kaka michuzi mpaka leo ana miaka 22. Na mimi nina miaka 32.
Tena tumechemsha tungemueka miaka 17 ndio ingekua bomba mwakani tu tungemsaini LIVERPOOL.
Maximo upo??? Na wewe karibu utakwenda kwenu Brazil kula mavuna ya pesa zetu za walipa kodi wa Tanzania/
Yanga hata wakienda kufanya TRIAL KENYA watafeli.kisa na mkasa hawana mipango.
ReplyDeleteBRAVO BOBAN MAXIMO ANATAFUTA KWA KUJIFICHA.
SIMBA TUWATOE WACHEZAJI WETU.JUMA JABU YUKO KWENYE LIST YA KUONDOKA.
Wa2 waliozowea kuongopewa wana tabu sana. Sasa kama uwamini ana miaka 22 tuambiwe wewe Boban ana miaka mingapi? Boban ushapata shavu, sasa gusa ngozi mpaka wakukubali na upae juu, juu, juuuuuuu zaidi uwende Darajani ili ukamilishe ndoto yako. Darajani 2nakuitaji m2 kama wewe
ReplyDeleteHongera sana "Boban", kawakilishe ughaibuni. Zingatia masuala ya nidhamu usipigane uwanjani huko.
ReplyDeleteKumbe umri wa Boban ni sawa na Obafemi Martin :)
Wadau mnaosema bora Ngassa alijaribiwa West Ham ina maana ndio anacheza Premier League sasa? Haruna Moshi anaenda kucheza ligi kuu ya Sweden. Henry Joseph timu yake imepanda daraja kwa hiyo kuanzia mwakani atakuwa anacheza kwenye ligi kuu ya Norway. Hizi ni ligi za mataifa yaliyotuzidi kisoka. Ni changamoto tu kwa timu nyingine, sio kusema watu wanabonda. Mbona Athuman China alipata kuichezea Reading ya Uingereza?
HIYO BENDERA YA VIJANA WA CCM BEGANI JAMANI.
ReplyDeleteKWANI NONDA ALIKUWA SIMBA? SIMBA SI WAMEANZA FANIKIWA MWAKA HUU TUU.
ReplyDeleteCHINA HAKUWAHI KUCHEZEA READING NI GOLIKIPA MOAHMED MWAMEJA NDIO ALIFANYA MAJARIBIO NA READING.
ReplyDeleteANAYEDAI NONDA HAKUTOKA YANGA KWENDA ULAYA ALIPITIA SOUTH AFRICA AKASOTA NA KUTENGENREZWA HUKO.SISI SIMBA TUNATENGENEZA WATU WENYEWE.KAMA NONDA WENU HATA CLUB ZA BURUNDI NDIO ZINASTAHILI SIFA KAMILI.
SIMBA OYEE YANGA ZII.HAWANA MIPANGO.
Wewe wakuja Nonda amekulia kwao amekuja Bongo ameshaiva kinoma ila majungu ya akina kizota na kina mtekere akawa anakula ubao.
ReplyDeleteInawezekana nakumbuka vibaya kwamba tuliambiwa kwamba Athuman China anachezea timu ya daraja la pili huko Uingereza iitwayo Reading. Wakati huo ligi kuu walikuwa wanaiita ligi daraja la kwanza. Habari kutoka gazeti la Mfanyakazi enzi hizo zikatupasha kwamba anachezeshwa namba saba katika timu ile-na alikuwa anapata namba. Alicheza kule kwa muda mfupi kabla ya kutimkia Uarabuni.
ReplyDeleteWadau wenye data msaada tutani.