Home
Unlabelled
JK atembelea msoga kujionea madhara ya mvua kubwa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Maisha bora kwa kila mtanzania au kilimo kwanza??
ReplyDeleteNigeria 3 kenya 2, wapopo ndani ya world cup 2010 SA mbona raha !!
ReplyDeleteJamani ndugu zangu watanzania hizo ndo nyumba za kustahimili dhoruba kweli? you must be kidding me! Tanzania tunahitaji mapinduzi ya kiuchumi la sivyo watanzania wengi vijijini wataendelea kusahaulika na kwamwe hawatakaa wafaudu matunda ya uhuru. Viongozi wanapaswa kuweka mipango mathubuti ya kumkomboa mwananchi wa hali ya chini kwanza. Now you make me remember Mwalimu Nyerere na azimio la Arusha! Inatia huruma kwa mtanzania anayeendelea kuishi kwenye nyumba kama hiyo iliyozuliwa na upepo na sidhani kama zina hadhi ya kutwa nyumba labda tuite vibanda! Samahani kwa hili lakini ninazungumza kutoka moyoni!
ReplyDeletesasa serikali imetoa msaada gani kwa waaithrika?
ReplyDeleteWewe Tarehe Sat Nov 14, 09:02:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous
ReplyDeleteKwanini Serikali itoe msaada kwa waathirika? Kwani hao waathirika hawakujua kuwa kuna Insurance (bima) kuzikatia hizo nyumba zao? Kama magari tu kama una bima je kwanini utarajie serikali ije ikutengenezee gari yako ukipata ajali?
Yeah Serikali inatakiwa kutoa something for at least 24 hours. Bima itakulisha kwa siku za mwanzoni. Hebu mufikiri kabla hamjaongea. Gari na nyumba ni kitu tofauti.....Natural disasters zikitiokea serikali inatakiwa angalau kuwalisha watu kwa siku mbili...na kama nchi zilizoendelea zinawahifadhi hata kwa miezi 6....
ReplyDeletekitu kimoja ninachompendea mhe rais jk, hata kuwepo na maafa kiasi gani yeye anatabasamu na kuweka mikono mfukoni kana kwamba hakuna janga lililotokea. kwa walio karibu naye, kweli huwa ananuna au kuonyesha huzuni?
ReplyDeleteninatoa heshima: maisha bora kwa kila mtanzania! kilimo kwanza!
CNN: Landslides kill 20 in Tanzania.
ReplyDeleteBIMA YENYEWE HUPATI HADI ULISHE RUSHWAAAA...KWELI INABIDI WAWASAIDIE WAATHIRIKA KWA MUDA...KWANI KWENDA SHULE KOTE HAWAJUI KUNA MFUKO MAALUMU WA KUKABILIANA NA NATURAL DISASTERS...AU MPAKA TUOMBE???/
ReplyDeletewewe anony Sun Nov 15, 02:05:00 AM acha kukurupuka. serikali ambayo iko responsible kikweli kweli ilitakiwa kufanya kitu hapo, hiyo ni natural disaster, siyo short ya shirika la kugawa giza nchini (TANESCO). regardless kama una bima au la (unakumbuka katrina? kwa nini bush alipigiwa kelele kwa serikali yake kuchelewa kufanya kitu? wale hawakujua kuwa kuna bima??) acha ujinga. Ila hapa bongo ndo tushazoea.
ReplyDeleteMdau, DSM
we unayedai ati rais huwai anacheka sijui bla bla gani ulitaka alie??
ReplyDeletehahahahahaa
ReplyDeletesio la kucheka ila sina mbavu jaman
eti tabasamu,kilimo kwanza
hahahaaa