Mwanasiasa Mkongwe nchini , Kingunge Mgombale – Mwiru ambaye pia ni Naibu Kamanda Mkuu wa UVCCM na Mbunge wa Kuteuliwa ( wa pili kulia) akimpongeza Mwenyekiti wa Mkoa wa CCM , Mhandisi Petro Kingu , ambaye alikuwa Kamanda wa UVCCM wa Morogoro mjini baada ya kukabidhi cheti cha utumishi kwa nafasi hiyo ambayo imechukuliwa na Pascal Kihanga ( hayupo pichani) wikiendi hii mjini Morogoro
Mkuu wa Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, (kulia) akimsikiliza Mwanasiasa Mkongwe nchini Kingunge Ngombale –Mwiru ambaye pia ni Naibu Kamanda Mkuu wa UVCCM na Mbunge wa kuteuliwa ( hayupo pichani) baada ya kusimikwa juzi kuwa Naibu Kamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM Wilaya ya Ulanga ambapo Kamanda wa Wilaya ni Rajab Mkwesi ( hayupo pichani). Picha na John Nditi.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kwanini wazee ndio wawe wasimamizi wa uvccm?

    ReplyDelete
  2. jamani eeehh kama kuna mtu anaijua namba ya huyo Kamanda mkuu wa Wilaya naomba wajameni

    Mdau SA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...