moja ya nguzo chache za taa za barabarani mtaa wa bibi titi mohamed street ukiwa hoi baada ya kupigwa daflao siku chache zilizopita. jeshi jipya la polisi jiji mpo??

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Du Mithupu umetia chumvi sana ,Yaelekea hiyo vokesheni yako imekuwacha mbali sana [dar inabadilika kila siku ]...hizo taa zinawekwa mpya kaka

    ReplyDelete
  2. KAKA SIO ZIMEPIGWA DAFLAO, NI KWAMBA ZIPO KWENYE MCHAKATO WA KUBADILISHWA ZOTE. ANGALIA KWA MAKINI UTAONA ZOTE ZIKO CHINI

    ReplyDelete
  3. ANDIKENI VITU AMBAVYO MNAUHAKIKA NAVYO SIO UNAPITA KASI NA GARI LAKO KISHA UNAONA NGUZO IKO CHINI UNAANDIKA IMEPIGWA DAFLAO! HIYO NI MOJA YA NGUZO CHAKAVU ZILIZOCHIMBWA ILI ZIONDOLEWE NA SI MOJA KAMA UNAVYODHANI. ILA TU CHA MSINGI NI KUWA WALE WALIOZICHIMBA ILITAKIWA WAZIONDOE NA SI KUZIACHA ZIMEZAGAA BARABARA YOTE. PIA NGUZO HIZO HAJIJAWEKWA MIAKA MINGI ILIYOPITA ILA NI ZA KIFISADI KWANI ZIMETENGENEZWA KWA KUKUNJA MABATI HIVYO ZIMEPATA KUTU HARAKA SANA HATUJUI CHA JUU KILIKUWA KIASI GANI? POLISI HAWAHUSIKI KWA HILI BALI JIJI NDIO WAHUSIKA WAKUU KUZIONDOA PAMOJA NA UCHAFU ULIOIBULIWA KWENYE MITARO NA KUTEREKEZWA JUU YA BARABARA.

    ReplyDelete
  4. jeshi liwepo hapo kwani kuna mloo au kifuta jasho....navyojua mimi watatinga kariakoo kwa wamachinga

    ReplyDelete
  5. BONGO KIBOKO TAA ZINA MWAKA MMOJA,ZINABADIRISHWA MPAKA NGUZO?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...