Mkuu wa Chuo Kikuu cha Arusha, Askofu Joshua Kajula akiwatunuku shahada wahitimu katika mahafali yaliyofanyika Chuoni hapo wilayani Arumeru wikiendi hii
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Arusha, Askofu Joshua Kajula akiwatunuku shahada wahitimu katika mahafali yaliyofanyika Chuoni hapo wilayani Arumeru
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Arusha, Askofu Joshua Kajula akiwatunuku shahada wahitimu katika mahafali yaliyofanyika Chuoni hapo wilayani Arumeru
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiteta na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Arusha, Askofu Joshua Kajula katika mahafali ya chuo hicho yaliyofanyika kwenye viwanja vya Chuo, wilayani Arumeru
Kaka ni lugha ngumu au, chuo kikuu arusha university mmh.... hii ni kali
ReplyDeleteVyuo vikuu ni vingi lakini wanafundisha habari inayoeleweka? Isijekuwa kama ile habari ya "International school" za mabanda ya uwani.
ReplyDeleteHivi imekuwaje? Inaonekana Waziri Mkuu hawezi kutunuku vyeti na ndio maana hiyo kazi hiyo ikafanywa na Mkuu wa Chuo, is it??
ReplyDeletehiyo kofia imemfanya waziri mkuu aonekane bonge la handsome!
ReplyDeleteyani wamepanga mstari kugongwa na ilo likofia kichwani????
ReplyDeletekaazi kweli-kweli