Home
Unlabelled
NYUMBA INAUZWA TEGETA SALASALA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hivi kwanini linapokuja swala kama hili la nyumba inauzwa.... yaani wabeba box kimyaaaaa kabisa, lakini maswala kama ya kanumba wanakua wa kwanza ku-comment,wabeba box ebu tuonyesheni kwamba huko ni pazuri kwa kununua majumba kama haya, msinitukane wajemeni
ReplyDeleteNi mimi MLA VUMBI.
Shs ngapi? Bilioni mia mbili? Maanake bei za nyumba zinazotangazwa humu kwa michu ziko kwenye karensi ya Zimbabwe.
ReplyDeleteka michuzi nyumba ni ya nguvu ila hatuonyeshwi ndani hata kidogo tuone bafu likoje jiko n.k na bei je? wengine hatuishi huko ila tunapenda kujua bei pls tujulishe.
ReplyDeletemdau masachusets
tuonyeshe picha za ndani ya nyumba pia na inayoonekana yote si hivi upande tu.
ReplyDeleteHII NYUMBA SI ILIKUA INAPANGISHWA JAMANI,SASA IMEKUAJE?
ReplyDeleteni nyumba nzuri wenye pesa muwe waangalifu na hati za umiliki haswa kujua kama eneo linakubaliwa ujenzi, sio bondeni, hati hazina ugomvi
ReplyDeleteWABEBA MABOX TUNANUNUA NYUMBA HUKU NI CHEAP THA TZ. HUKU TZ KAMA HUNA MILLION 300 CASH HUPATI NYUMBA YA MAANA. HUKU POUND 50,000 UNAPATA 2 BED ROOM HOUSE PIA UNAKUWA UNALIPA KWA MWEZI, TZ HATA MORTGAGE HUKU KUPATA SIJUI HATA INA EXIT!
ReplyDeleteJAMANI PAMOJA NA KUWEKA NAMBA NYINGI ZA SIMU KWA AJILI YA MAWASILIANO! SIO MBAYA KABLA YA KUPIGA SIMU UKAJUA BEI ILI UONE KAMA UNAWEZA KUIMUDU KUNUNUA AU LA! HALAFU IMEPIGWA PICHA ZA KUIBIA,MAANA PICHA ZOTE TATU NI UPANDE MMOJA YAANI LINGEKUWA GARI TUNGESEMA UPANDE MMOJA LITAKUWA LIMEPATA AJALI AU KAMA ANGEKUWA NI DADA WA KIHAYA AU KINYAKYUSA UMEPIGA PICHA INAONYESHA MGONGO TU WALA SURA UIJUI.
ReplyDeleteUTOE NA MAELEZO KAMA MAENEO ILIPO LAZIMA UWE NA GARI 4X4 SANA SANA KIPINDI CCHA MVUA ILI UKINUNUA LAZIMA UWE NA AINA GANI YA USAFIRI.
WABEBA BOX TUNAJENGA WENYEWE,KIPI BORA KUJENGA UNAVYOTAKA AU MTU AKUUZIE??VILEVILE NI CHEAP KUJENGA KULIKO KUNUNUA....ITS NOT ROCKET SCIENCE......WENYE HELA NUNUENI
ReplyDeleteKutokuweka bei ya nyumba hii ni dalili ya ujanja-ujanja. Kama inauzwa na haina mushkeli kwanini bei haikuwekwa?
ReplyDeleteKWA NINI WAUZA NYUMBA AU MAGARI WA BONGO HUWA HAWAWEKI BEI ZAKE??
ReplyDeleteInatisha utanunua nyumba leo miaka mitano baadaye utasikia serekali inafuatilia nyumba yako maana inahusika na mambo ya ufisadi. Nyumba nyingi za namna hiyo huwa zinajengwa na mafisadi.
ReplyDeleteNdio maana mbeba box atakuwa na wasiwasi kuwekeza hela zake namna hiyo.
wekeni number ya kiwanja na tunataka kuona kwa ndani na nyumber yote kwa ujumla au pia unaweza kutuwekea ramani yake kwa kuiangalia ukiwa juu au plane view
ReplyDeleteNyumba nzuri sana, ila ombi kwa muuzaji au agent wake. Next time weka features za nyumba zake kama vile, ukubwa wa hiyo nyumba, idadi ya vyumba vya kulala, idadi ya mabafu, aina ya floor, storage space, jiko, garage ni attached na nyumba au separate. Pia asking price ni muhimu, na ueleze kwamba bei inajumuisha nyumba pekee, au ni + appliances na vitu kama hivyo.
ReplyDeletePhatlorenzo-MN
POLENI SANA WADAU, BEI YA NYUMBA NI MILION 35
ReplyDeleteHiyo nyumba haiuzwi wala nini jamaa anaringishia tu. Kama kweli anauza mbona asiweke hata asking price. Wabeba box woote wakiona hujaeka hata teasing price hawaangaiki kuuliza kwa sabu wanaju muuzaji anafanya gelesha tu.
ReplyDeleteHuko kwa wabeba box nyumba zinakuwa na bei pale zinapokuwa zinatangazwa kuuzwa, pia huko kwa wabeba box hakuna dalali wa ulongo au nyumba yenye migogoro ya Mirathi au nyumba inayouzwa na mfisadi ambayo itakuletea matatizo baadaye.
Kwa ivo ukiona wabeba box wamekaa kimya ujue kwanza wamekueshimu, pili hawakointerested na iyo nyumba, tatu wanaogopa kutapeliwa, nne hawana hata hiyo hela, na tano wabeba box kama watu wnagine wana haki ya kusema au kutosema kuhusu kitu chochote kile
ANGALIA HATA BEI YA NYUMBA, KWA BONGO SINUNUI NYUMBA HADI NIHAKIKISHE MWENYEWE...WENGI MATAPELI...NYUMBA NYINGI HASA KAMA HIYO KWA BEI HIYO ILIYOTAJWA BASI KUNA SHAKA...NI KWELI MDAU SISI WABEBA MABOX TUNAJENGA WENYEWE....TUNAFANYA KILA KITU WENYEWE MPAKA TILES TUANATIA WENYEWE. MABOSS WASIOWEZA KUINUA HATA TOFALI NUNUENI...PESA ZA UBWETE ZA MISSADA TUMIENI.....UMESHAONA WAPI MTU ANANUA GARI hata pesa ya mafuta inamshinda? sisi wabeba mabox tunanea uchngu pesa zetu za TAX ZINAVYOTELEKEZWA NA MABOSS WENU...UNANUA NYUMBA KAMA HIYO HALAFU UNAPATIKANA KAMA YALE YA KIGAMBONI......
ReplyDeleteTwo bedroom house unanua kwa £50,000? Wapi huko nije ninunue? Maana huku nyumba zaanza £150,000 tena inakuwa inahitaji renovations kibao, ukitaka nyumba ambayo iko nzuri haihitaji matengenezo basi ununue kuanzia £185,000 na kuendelea. Unless unaongelea kununua kwa mtindo huo wa kukopa ambao ulisababisha uchumi wa US wa kuporomoka, unakopa unalipa karibu maisha yako yote. Ukishindwa kulipa wenyewe wanachukua nyumba yao, sio sawa na kununua inakuwa yako moja kwa moja.
ReplyDeleteNYUMBA ZA BONGO ZINASHANGAZA UTAKUTA MTU ANAUZA NYUMBA $1000,000.00 HII NI SAWA NA
ReplyDeleteTSHS 1,300,000,000.00 HIVI TANZANIA UNAWEZA KUJENGA NYUMBA KWA TSHS 1.3 BILLIONI? LABDA WATAKUJA KUNUNUWA AKINA DAVID BECKHAM. TATIZO WANAFUATISHI EUROPE, WANASHINDWA KUOWANISHA MAMBO YA KIUCHUMI, GHARAMA NI TOFAUTI ZA VITU KATI YA TANZANIA NA ULAYA, KWA MFANO MCHANGA ULAYA UNUNULIWA KWENYE VIFUKO KAMA CEMENT HIVI NA MFUKO MMOJA SOMETIMES UNAPATA KA £3O AMBAYO PENGINE NI SAWA NA TSHS 60,000.00 SASA LORI LA MCHANGA NI VIROBA VINGAPI ILI LIJAE, TUSEMA ELFU MOJA FANYA MAHESABU 30 MARA 1000 = 30,000 AMBAZO NI SAWA NA
30000X2200=66,000,000.00 HIVI UNAWEZA TANZANIA KUJENGA NYUMBA KWA MCHANGA WA TSHS MILLIONI 66? NDO MAANA ULAYA SODA NI $1 NA BONGO TSHS 500 NA £1 = TSHS 2300
Nyumba nzuri lakini bei unaweza kushangaa na roho yako. Inaweza ikafikia price ya hekalu Wachita, KS...na mishahara ya bongo....havioani kabisa...mtu anataka mark up ya 10000%
ReplyDeleteMwenye Nyumba yake Haiuzi alikuwa tuu anataka kuwaringishia, angekuwa anauza angeweka Bei. utatangazaje kuuza kitu bila bei?
ReplyDelete