Anko Michuzi,
Mie jina langu naitwa David. Ni Mdau mkubwa saaana wa blog ya Jamii tangu dei wani.Baada ya kukata Mwaka naomba nijiunge rasimi sasa ili tuendeleze libeneke pekee la kuburudisha,kuelimisha,kukemea ufisadi,n.k. Ila moja tu ninajiunga na masomo suun sijui nitayabalansi vipi na blog yetu ya jamii jamani....
NAWASALIMIA WADAU WOTE WA BLOG YA JAMII. NAAMINI HAWATASITA KUNIKARIBISHA NDANI YA JAMII.
Mdau David ( UK )

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mdau David, karibu sana tuendeleze libeneke. Ila mbona hujamwamkia Uncle michuzi? Sisi wadau wadogo humu tunanza na Shikamoo. Kubalansi Libeneke na Shule itawezekana, mimi niko Kindergaten hapo Forodhani, DSM, na mambo yanakwenda. Karibu sana

    ReplyDelete
  2. u r sooo kyuuuuuuuut, kiss kisss,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...