wadau chrispin montana kinabo na reza daniel mziray wakiwa na nyuso za furaha kwenye mnuso wao uliofanyika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa mlimani city conference centre jijini dar baada ya kumeremeta katika kanisa la St. Immaculate la upanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 28 mpaka sasa

  1. Halo haloo, mmependeza.Hope mtakuwa na same outfit @ Vantaa

    ReplyDelete
  2. hongereni sana

    ReplyDelete
  3. Congratulation young brother, i have seen you growing up mtaani kwetu kalenga. may god bless that marriage.

    ReplyDelete
  4. hongera sana maharusi. mungu awatie nguvu na mdumu ktk ndoa yenu. mmependeza sanaaaa,. aminia rezaaa!!aminia monty!!

    ReplyDelete
  5. Ni tukio kuu katika maisha ya wanadamu, pongezi za dhati kwenu maharusi. Mungu awalinde na awaongoze katika maisha yenu ya ndoa, mpate baraka baraka nyingi na heri hapa duniani na huko mbinguni.
    Best Regards
    Dennis

    ReplyDelete
  6. Hongereni sana. Mmependeza sana. Uncle Willy.

    ReplyDelete
  7. Mungu awbariki ktk ndoa yenu

    Reza mziray ulisoma shule ya msingi moshi?

    ReplyDelete
  8. Chrispin umependeza sana na mkeo. Hongereni sana. Wanawake mliokuwa mnamdokolea mimacho huyu bwana sasa mkome. Mungu kampa bonge ya mwanamke. Nyie mlie tuuuu

    ReplyDelete
  9. aaaa haki ya nani hii couple inameremeta vilivyo yani imeshine vibaya mno inatamanisha kuiangalia tuuu iko juu sana hongereni saaaaana mmependeza sana lol mungu awape maisha mema katika ndoa yenu amen
    manka wa canada

    ReplyDelete
  10. Hongereni Sana Mr and Mrs Kinabo

    ReplyDelete
  11. Hongera sana Reza na Monte. mmependeza saaaaana! tunawatakia baraka za mungu katika ndoa yenu.XOXO Wendi

    ReplyDelete
  12. Kweli Montano umekuwa mpaka umeoa?
    Hongereni sana. Dada Lulu

    ReplyDelete
  13. Hongera sana wote, haswa Reza,nakumbuka enzi za ubatizo wa baby Imani na mama mkwe wako alikuwepo,khaaa siamini dunia hii,mama wa ubatizo kapata baba, alililiiiii,kila la kheri.

    ReplyDelete
  14. Hongera sana maprofessional Siivoja wa Tampere, fagilia waaa waaah!!!Siku tumeingojea kwa muda mrefu na ilipendeza kwakweli.Tuliobahatika kuhudhuria,tuliona kwa macho jinsi mlivyojiandaa pale Mlimani city, kwa kweli mlijitahidi, kila la kheri.Mungu awajalie mbakie L&T ,katika shida na raha,forever.

    ReplyDelete
  15. Hongera zenu, but mmetoka tu normal and fine,sio kivileee kama ambayo tulitegemea, kwa kweli mlijiandaa saana kwa muda mrefu, so tulitegemea mambo flani makubwaa.Si haba, la muhimu mmeowana.Tungojee ya ndugu zenu wiki ijayo, mungu awajalie wana Finland woote kwa maana kwakweli mmeamua wote kuwa NDUGU.

    ReplyDelete
  16. all the best,mlitoka simple but nice.Ila the wedding too white,Mr,angevaa black kidogo ingetia kagiza, but mmependeza, inatosha.

    ReplyDelete
  17. Safi sanaaa Reza and Monty, bila uwoga mkapeleka ndoa yenu bongo mbele ya friends, family and everybody else.You love each other and you guys have every right infront of God and everybody, basi mungu awajalie maisha mema, yenye furaha, amani, upendo na baraka za mwenyezi mungu teleee, kwa maana nyumba yenu imejaa baraka kila upande.
    Reza tunangojea picha kwenye facebook, walowivu wajinyongeeeee,Reza na Monty forever, mungu mwenyewe kapanga jamani,sio ndoa za kulazimishia,NO,NO, wanameremeta.

    ReplyDelete
  18. Engineer kaolewa jamani, vigelegele wote aluluuu,kwakweli tumefurahi sana nduguzo na marafiki.Reza umeenda kwenye familia nzuri sana, una akili, hauna haraka, umefikiria kwa utulivu, ukachagua ukoo wa maana.Hongera sana cousin,nikija Finland ntakutafuta.Kisses!!!

    ReplyDelete
  19. Reza na Monty haooo, waa waaa fagilia salamu nyingi sana kutoka Tampere.

    ReplyDelete
  20. Hongereni sana, mmeamua kuowana, very good, mkatulie sasa ndoani.Mkaheshimiane, mkapendane na mkayafuate yale ambayo wazazi na ndugu wamewaeleza.Monty katulie sasa baba, ujana basi.Iliyobakia kulea mke na mtoto,ok my bro?

    ReplyDelete
  21. Mungu awajalie mdumu na mkapate watoto,all the best.

    ReplyDelete
  22. Hii ndio naita kutendea haki watoto, maana bwana mzuri na bibi mzuri ni uhakika kabisa watoto watakua wazuri wakizaliwa hongereni sana ..wow huyu bwana harusi jamani mzuri

    ReplyDelete
  23. Hongereni sana. Bwana Harusi unafanana sana na aliyekuwa Daktari wangu wa macho kwenye early 90's pale Muhimbili.Sijui ndie dadio. Anyway Hongera sana. Mnameremeta.

    ReplyDelete
  24. Hongera sana Monty.....mungu awabariki kwenye maisha yenu ya ndoa!.....Dada Farida.

    ReplyDelete
  25. yaani mmetoka bomba ile mbaya,karibuni kwenye chama kisicho na ada mungu awasaidie muendelee kung'aa siku zote nje na ndani msisahau sala ndio nguzo kuu ya ndoa upendo wenu udumu daima , Reza mfaidi mumeo na Chispin mfaidi mkeo.

    ReplyDelete
  26. Wow..the best weddin u can never have is a white/cream..u guys just KILLED IT...love u both

    ReplyDelete
  27. Kila la kheri kamanda Monty na Reza.

    Nwatakia maisha mema na yenye baraka.

    Salaam kutoka Passion

    ReplyDelete
  28. Msela and my sis Reza congratulations. Now your a family unit was nice seeing you guys and spending the whole day with you. Thankyou so much for giving me the time guys.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...