
Kampuni ya kutengeneza Mafuta ya Kula na Jibini ya Malaysia inatafuta Wakala/Msambazaji wa Bidhaa zake kwa Tanzania.
Mafuta ya Kula ya "Palm Oil" ni kati ya mafuta salama kwa afya na hayana Cholesterol, Niandikie Email nitakutumia viambatanisho vyote vinavyoonesha Ingredients na maelezo mengine pamoja na kukuunganisha na wahusika.
Kampuni itasaidia kwenye gharama za Ku-pack na kwa jina lolote ambalo utapendekeza wewe.
Kwa habari zaidi wasiliana nami kwa:
piusmicky@yahoo.co.uk
+255 713 666616
+60176452510.
Kwa habari zaidi wasiliana nami kwa:
piusmicky@yahoo.co.uk
+255 713 666616
+60176452510.
TBS IMEYATHIBITISHA?
ReplyDeleteKaka Pius mbona unatuangusha...michikichi kibao kule kigoma, waambie walete teknologia wazee wanalima kule hamna soko. Acha kutungusha ndugu yetu. Kama hivyo hamna sababu ya wewe kuwa huko ng'ambo, huku tunataka technology ili kuinua uchumi.
ReplyDelete