Uncle Misupu pole na safari ya Moshi.
Sisi GOBA HAM UNITED ya Goba tunashiriki Kombe za Diwani Cup na Hussein Bunu wa JKT Ruvu ni mlezi wetu wa timu, tulikuwa tunaomba wadawa wasoka la Bonge waje Goba waangalie vipaji, wanaweza pata wacheza wa Baadae.
Mimi Joseph Mwaikambo wa Benson Informatics kama Mkurugenzi wa timu nakualika wewe na wadau wangine kwenye Mechi za diwani Cup. Ndoto yetu kuja kushiriki ligi kuu baada ya Miaka mitano ijayo.
Uncle misupu naambatanisha na Picha ya timu yetu, na leo tuna mechi saa kumi jioni Goba.
Aksante na karibuni
Sisi GOBA HAM UNITED ya Goba tunashiriki Kombe za Diwani Cup na Hussein Bunu wa JKT Ruvu ni mlezi wetu wa timu, tulikuwa tunaomba wadawa wasoka la Bonge waje Goba waangalie vipaji, wanaweza pata wacheza wa Baadae.
Mimi Joseph Mwaikambo wa Benson Informatics kama Mkurugenzi wa timu nakualika wewe na wadau wangine kwenye Mechi za diwani Cup. Ndoto yetu kuja kushiriki ligi kuu baada ya Miaka mitano ijayo.
Uncle misupu naambatanisha na Picha ya timu yetu, na leo tuna mechi saa kumi jioni Goba.
Aksante na karibuni


Namuona Bunu kwa mbali hapo, big-up kaka mwaikambo, umerudi toka uganda.
ReplyDeleteMdau,zain
teh teh nawasiliana na maximo aje aangalie vipaji hasa cha Bunu
ReplyDeleteGoba Ham united, west ham united, hivi nini maana ya Ham?
ReplyDeleteHAM:the top of the back leg of a pig,salted and dried......nafikiri ndugu zetu hawa wa Goba HAM united wanajua nini wanafanya na wako poa na timu yao ya nguruwe
ReplyDelete