
A TEENAGER has been knifed to death - allegedly by his best mate - after a bust-up over a message on Facebook.
Salum Kombo, 18, was stabbed repeatedly and staggered 400 yards before collapsing in a pool of blood.
He was said to have been attacked by the 15-year-old who held a grudge because he had shown "disrespect" in the posting on the social networking site.
For Source and more...
Mwenyezi mungu ailaze mwili wa marehemu mahali Pema Inashaaallah peponi. MIE SIZANI NI UTUMIZI FACEBOOK NK, ILA NI KUANGALIA UTUMIAJI TU MZURI HII NI TABIA YA VIJANA LAZIMA TUNAOISHI NJE TUWALEE VIZURI KWA MILA ZETU. MILA NA UTAMADUNI WETU NA DINI NI VITU MUHIMU SANA HASA KWA VIJANA WA SIKU HIZI. POLENI WAFIWA WOTE TUPO PAMOJA NANYIE.
ReplyDeletePOLENI SANA WAFIWA NA KATIKA WAKATI HUU MGUMU, MWENYEZI MUNGU AMETOA NAE NDIO AMEMTWAA MJA WAKE.NIKWA KAMA MZAZI NA MKAZI WA UK NINGETOA USHAURI KWA SISI WAZAZI KUWA MAKINI NA VIJANA WETU HASA KUWAWEWKEA COMPUTER VYUMBANI MWAO,WENGI WAO WANA ABUSE MATUMIZI YAKE,VIJANA WETU WENGI WAMEJIINGIZA KWENYE GANGSTAR KUFUATA MKUMBO TUNAITAJI USHIRIKIANO WA HALI YA JUU KUTAFUTA NAMNA YA KUWAKOA WENGINE,MUNGU UIWEKE ROHO YAKE PEMA PEPONI POLENI SANA,
ReplyDeletehttp://www.mirror.co.uk/news/top-stories/2009/12/22/stabbed-to-death-in-petty-row-on-face-book-115875-21915199/
ReplyDeleteA teenager was knifed in the chest by a pal just hours after they argued online over a girl, it was claimed yesterday.
R.I.P!
ReplyDeleteRIP young man. Inna lillah wa inna ilaihi raajiuun. My heart goes out to the bereaved family of the young boy who has just added to the statistics of inner London's knife culture. I think it is utterly wrong to blame it on social networking as such incidents have been occuring in inner cities - particularly London long before the advent of these sites. The motives behind London's knife culture - which is more prevalent among black ethnic minority youths - have baffled the Metropolitan Police for many years. Without sounding racist, my best bet is that the assailant may not have been of Tanzanian origin. again, RIP in Salum and may Allah grant patience to your family.
ReplyDeleteRIP
ReplyDeletePoleni wafiwa.
ReplyDeleteHii technolojia mpya ya mawasiliano kutumia txtmsg,social netwowrking, blogs n.k watu huutumia vibaya.
Hivyo sote tuepukane kujificha nyuma ya 'anonymous' ili tuwachafue watu kwa lugha isiyokuwa na ustaarabu.
Rest In Peace young blood.
ReplyDeletebut the warning shouldn't be abt using those social networking.pretty much is on "how u use it".
hata hapa wadau hutuma maoni yasiyo na ustaarabu just b'se hawajulikani.kumbuka,kuna some stupids just like that 15 YRS old kid(murderer).
THAT IS NOT ABOUT SOCIAL NETWORKING, NI TABIA ZA WATU HATA KAMA WANGEKUTANA BAR WANGEUWANA SO IS NOT FACEBOOK, HI5, TAGGED, NI TABIA YA VIAJANA HASA WADOGO WANAOIGA LIFE STYLE YA WESTERN COUNTRY WHERE THERE IS NO RESPECT FOR LIFE. WANDHANI WANAWEZA KUNUNUA UHAI DUKANI.
ReplyDelete