








Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
'Big up' Manju tuondolee huo ukoloni mamboleo wa kuiga kila kitu cha Magharibi..huwa wanatushangaa sana tukifanya harusi za magharibi, mavavi nk.
ReplyDeleteTatizo hizi nguo ni kama costume , utadhani wako kwenye theatre , kwa kweli sioni kama wamependeza utadhani wanafanya a freak show .
ReplyDeleteAngalia hiyo nguo ya sendoff haswa pale inapo buruza utadhani sijui mkia wa nini, ni nguo za kama mtu anafanya imagination , haswa kama vile wamakonde wanavyo chonga zile vyinyago, .
Hakuna kupendeza hapa, nadhani wabuni nguo zinazo onekana zina valika kuliko kuonekana kama vile wako kwnye fashion show kwenye kipengele cha ubunifu wa hisia.
Vipi Jah Kimbute hivi kaka yako David yupo wapi siku hizi? Mara ya mwisho nilisikia yupo Marekani, mimi nimesoma naye Tanga tulikuwa tunamtania Mzee wa NONDO ama Cheff. Mpe hi nyingi tu mimi niko INDIA
ReplyDeleteManju Msita HONGERA sana kwa ubunifu wa hali ya juu. Hii ni njia mojawapo ya ukombozi kutoka makucha kama sio kasumba ya mabeberu wa kiutamaduni (ubeberu ambao huwa umefungamana na ubeberu wa kiuchumi). Sasa nina imani kwa mtaji huu tunaweza hatu kupata suti ya kiafrika inayoshindana na suti ya ulaya. huu ndio ubunifu tunaopigia kelele. nikija bongo nitakutembelea. keep up!!
ReplyDeleteWewe unaesema nguo kama wko kwenye theatre pole sana. Tatizo ni kwamba nguo za kizalendo unafikiri ni special kwa sanaa tu, kumbe si hivyo. Badilisha mtazamo hapo awali wengi walichotwa na utamaduni wa wageni siku hizi watu wameshtukia dili kila mtu anathamini cha kwao. Tuondokane na utumwa. MANJU KANDAMIZA KWA SANA WATU WAAMKE. GOODLUCK!!!!
ReplyDeleteHi Manju,kuna marekebisho ya hapa na pale ktk nguo zako lakini mbali na hayo kazi nzuri na hata nia yako kama tulivyosoma hapo juu ni nzuri,tafadhali tilia mkazo.
ReplyDeleteKila la heri.
Mdau Palm Beach,Dar.
kaka michuzi ur spelling inasikitisha is it chicken party ama kitchen party?
ReplyDeleteMi sina tatizo na mavazi, ila nina tatizo pale mtu anaposema haya ndio mavazi ya utamaduni wetu. Suruali na 'shati' si utamaduni wetu, kama mnataka mavazi ya utamaduni wetu, turudi nyuma hadi kabla ya ujio wa wageni wa Kizungu na Kiarabu, tuangalie tulikuwa tunavaa nini.. hapo itakuwa sawa. Au?
ReplyDeleteHizi ni nguo za kimagharibi ila zina urembo au nakshi za kiAfrika, sasa tubunie zile za kiafrika kama vibwaya, migolole n.k
ReplyDeletesafi sana
ReplyDeletelove it
nyie haters hapo juu manaosema hawajapendeza acheni hizo, na wewe vaa ya kwako halafu post hapa tukuone, nyooo
maharusi mmependeza sana msiwasikilize wenye wivu
peace
mdau
Canada
TRULY SOUTH AFRICAN.
ReplyDeleteYaani ni nzuri mno, hongera sana kaka haswaaa hizo mavazi ya harusi.
ReplyDeleteNilikuwepo kwenye send off ni kitu tofauti na ilipendaza. Lol. Lolah
ReplyDeletedesigns zako nzuri sana kaka, ila kuna siku nilikuja hapo kwa ajili ya nguo ya kitchen party kwakweli CUSTOMER SERVICE yako ni MBOVU! rekebisha hilo mambo yatakuwa safi.
ReplyDeletekhaaa wee annon 09;43;00am
ReplyDeletehahahaaaa mboni ndo ugonjwa wetu,no mtz ana customer service zuri
Big Up Manju
ReplyDeleteLove your work. Mteja sugu lol
Dell D610
ReplyDeleteAlways Works. !!
Kwakweli nimekubari kuhusu hayo mavazi mnayoyabuni
ReplyDelete