Kaka Michuzi
Pole sana na kazi yako nzito yakutupa taarifa mbalimbali zinazotokea ulimwenguni na hasa nchini kwetu Tanzania.Kwa niaba ya TASABA chama cha wanafunzi watanzania waishio Bangalore India ninakuomba ututangazie blog yetu hii mpya ya:
Pole sana na kazi yako nzito yakutupa taarifa mbalimbali zinazotokea ulimwenguni na hasa nchini kwetu Tanzania.Kwa niaba ya TASABA chama cha wanafunzi watanzania waishio Bangalore India ninakuomba ututangazie blog yetu hii mpya ya:
TASABA.BLOGSPOT.COM
kwenye blog yako ili tuweze kuwafikia watanzania wenzetu mbalimbali wakiwemo wazazi,serikali na jamii nzima kwa ujumla ili waweze kupata taarifa ya mambo mbalimbali yanayoendelea India.Kufanikiwa kwa jambo hili itasaidia jumuiya hii kupiga hatua kubwa sana.
wako mtiifu
TASABA spokesman
Jumanne R Mtambalike
TASABA spokesman
Jumanne R Mtambalike
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...