Kaka Michuzi
Pole sana na kazi yako nzito yakutupa taarifa mbalimbali zinazotokea ulimwenguni na hasa nchini kwetu Tanzania.Kwa niaba ya TASABA chama cha wanafunzi watanzania waishio Bangalore India ninakuomba ututangazie blog yetu hii mpya ya:
TASABA.BLOGSPOT.COM
kwenye blog yako ili tuweze kuwafikia watanzania wenzetu mbalimbali wakiwemo wazazi,serikali na jamii nzima kwa ujumla ili waweze kupata taarifa ya mambo mbalimbali yanayoendelea India.Kufanikiwa kwa jambo hili itasaidia jumuiya hii kupiga hatua kubwa sana.
wako mtiifu
TASABA spokesman
Jumanne R Mtambalike

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...