Dear Michuzi,
Wishing you a Happy and Prosperous New Year 2010 and remembering those who could not make it thru.

Naomba wawekee wadau wa Globu ya Jamii hii picha ya Baraza la kwanza la Mawaziri wa Tanganyika mnamo mwaka 1961. Inaonyesha kabisa kwamba Mzee Kawawa ndiye aliyekuwa peke yake amebaki kati ya waasisi hao.

RIP Sima wa Vita Mzee Rashidi Mfaume Kawawa.
Sisi tulikupenda lakini Mola kakupenda zaid - Amin
Mdau SM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Thanks and Merry Christmas to you as well. I found you via Jamati.com

    ReplyDelete
  2. Namwona Mzee Tewa Saidi Tewa hapo je na yeye alishafariki?

    ReplyDelete
  3. Asante kwa kutukumbusha lakini nafikili siyo Simba wa vita aliyekuwa amebaki lakini bado yupo Sir George K na Jobb Lusinde

    ReplyDelete
  4. ahsante mdau kwa picha nzuri ya kumbukumbu kuna uwezekano wa kuwatambua wote kwa majina pls

    ReplyDelete
  5. Akhante mdau kwa kumbukumbu hiyo nadhani kwa uchache nawaona.RIP ,r.kawawa,amil jamal, j.nyerere,o.kambona ,p.bomani,a.fundikira,g.kaham.b.mnanka,j.lusinde,e bryson nadhani kwa kumbukumbu yangu ni hivyo kama kuna niliposahau tafadhali rekebisha.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...